kushusha mzigo muda wa saa sita usiku
Yaani mb 848 masaa mawili duh!, SijakusomaKufikia saa 8 na nusu hivi usiku mzigo ulikuwa tayari
wakuu nilikuwa sijajaribu internet ya voda wajanja night, jana nilihitaji software flani na sikuwa na modem nikaona isiwe tabu, ni kainstall symtorrent kwenye simu yangu, nikajiunga wajanja night nakuanza kushusha mzigo muda wa saa sita usiku. Japo nilikuwa natumia simu na software yenyewe ina mb 848 speed yake ilikuwa inachezea 112kb/sec na kupanda mpaka 180. Kufikia saa 8 na nusu hivi usiku mzigo ulikuwa tayari. Nilitamani niendelee download kitu kingine lakini ka memo card ka simu yangu ni 1 GB nikaona ngoja nitatafta 4GB leo usiku nijaribu shusha windows 8.
Jaribu na nyie kweli ni unlimited
Hapo vp mzee babaAisee ni nomaaa niko mwanza wakuu dude ikagonga 5.8mbps na aikushuka 2mbps utorrent movie za gig zinaisha tu in a matter of minutes not hours
Hapo vp mzee baba
mtandao gani huo mzee na bei za bando zipoje
Mkuu we huoni kama mleta mada kaipost hii post zaidi ya miaka 8 iliyopita ilikuwa 2012? mtu kafufua makaburi tuYaani mb 848 masaa mawili duh!, Sijakusoma
Duh, sikucheki mudaMkuu we huoni kama mleta mada kaipost hii post zaidi ya miaka 8 iliyopita ilikuwa 2012? mtu kafufua makaburi tu
Bando zinaanza 1000 .... 1GB kwa week mojaHalotel hii kiongozi. Bundle zao zinaanzia 3000 hadi150,000 kwa mwezi check kwenye site yao kwa list kamili. Kwa hapa nilipo movie ya gb1.5 natumia dakika mbili hadi tatu kuidownload.
Halotel hii kiongozi. Bundle zao zinaanzia 3000 hadi150,000 kwa mwezi check kwenye site yao kwa list kamili. Kwa hapa nilipo movie ya gb1.5 natumia dakika mbili hadi tatu kuidownload.
mm pia natumia halotel 4g lakini sipati iyo speed nadhani iyo ni kutokana na eneo uliopo
Ilikuwa ni wakati huo, sio miaka ya hizi karibuni.Yaani mb 848 masaa mawili duh!, Sijakusoma
Sahihi, watu watakuwa wanashusha 1TB kwa sekunde chache.Huu uzi ukisoma text za mwanzo ndo utajua kweli technology inakua by the time 2027
Hapo nadhani ni mwendo wa 5g mzee. Hatari sanaIlikuwa ni wakati huo, sio miaka ya hizi karibuni.
Sahihi, watu watakuwa wanashusha 1TB kwa sekunde chache.
View attachment 1566942
Maana kwa sasa hapa ndipo tulipo fikia. 1Gbps.
Hii screenshot nimechukua muda huu.