elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
wakuu nilikuwa sijajaribu internet ya voda wajanja night, jana nilihitaji software flani na sikuwa na modem nikaona isiwe tabu, ni kainstall symtorrent kwenye simu yangu, nikajiunga wajanja night nakuanza kushusha mzigo muda wa saa sita usiku. Japo nilikuwa natumia simu na software yenyewe ina mb 848 speed yake ilikuwa inachezea 112kb/sec na kupanda mpaka 180. Kufikia saa 8 na nusu hivi usiku mzigo ulikuwa tayari. Nilitamani niendelee download kitu kingine lakini ka memo card ka simu yangu ni 1 GB nikaona ngoja nitatafta 4GB leo usiku nijaribu shusha windows 8.
Jaribu na nyie kweli ni unlimited
Jaribu na nyie kweli ni unlimited