Vodacom Unlimited Data bundle for 1000/= Tshs.

Iyo 1 Terabyte na Speed ya ku download inakuaje mkuu?
  • Hakuna restriction yeyote upande wa speed.
  • Ni wewe na matumizi yako mpaka utakapomaliza hiyo bandwidth ya 1 tera ndipo utalipia tena
  • Karibu
 
  • Hakuna restriction yeyote upande wa speed.
  • Ni wewe na matumizi yako mpaka utakapomaliza hiyo bandwidth ya 1 tera ndipo utalipia tena
  • Karibu

Kwahiyo bwana Mwl.RCT hiyo 1TETRA haina kikomo cha Mda mfano Mwezi n.k. Au mpaka nitakapo maliza Bundle yangu??
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo bwana Mwl.RCT hiyo 1TETRA haina kikomo cha Mda mfano Mwezi n.k. Au mpaka nitakapo maliza Bundle yangu??
  • Nikweli
  • Haina kikomo.
  • Ni juu yako iwapo utafanya download kwa mwezi, Miezi 6 , mwaka au miaka
  • Hii nitofauti na wengine wanaokupangia mfano 300GB per month.
  • KARIBU
 
Nimejaribu kutumia iyo ofa kwa kweli nimeishia kuwa disappointed iko slow kupita maelezo....Hapa bongo kila mtandao ni janga kwenye internet
 
Kweli kabisa maana kujiunga kwa wiki 6000 na wiki4@24000.. Nikabidhi tu kizembe na hali ilivyo taiti... Mimi naacha tu inipite!!!

 
TTCL ndio baba lao...
 
Unabamiza vipi?

Kuna INJECTION TOOL imebobea kutoboa FIREWALs za ISP wote wanao connect na sh sufuri
Mfano hawa Airtel nao inawapitia angalia Connection pale kwenye sytem tray kuna Alama ya WARNING lakini bado nashusha mpaka 300KB/sec sijui eneo langu Airtel iko slow hata sielewi
 

Unaweza kunielezea kitaalamu zaid?
 
  • Hakuna restriction yeyote upande wa speed.
  • Ni wewe na matumizi yako mpaka utakapomaliza hiyo bandwidth ya 1 tera ndipo utalipia tena
  • Karibu

nahitaji hii kitu mwl
 
Last edited by a moderator:
Habari, Nimeingia muda huu kununua Wajanja Night nikakuta kuna kifurushi kimeongezeka. Unalipia Tsh 1000 na unajipatia unlimited internet access. Sijapata kufahamu hiki kifurushi ni exclusive kwa muda gani.
nimekitumia hiki kifurushi, kiko very fast katika kubrowse, ila very slow katika kudownload
 
Habari, Nimeingia muda huu kununua Wajanja Night nikakuta kuna kifurushi kimeongezeka. Unalipia Tsh 1000 na unajipatia unlimited internet access. Sijapata kufahamu hiki kifurushi ni exclusive kwa muda gani.

hiyo ni kwa 24 hrs,we ni dreamchaser ninaekufahamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…