Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,210
- 40,652
Habari wana JF,
Nimekuwa mtumiaji mzuri wa mtandao wa Vodacom kwa zaidi ya miaka kadhaa sasa,hawakuwa na tabia ya kutuma meseji ovyo ovyo kila mara hasa za matangazo,sikatai meseji kwasababu ni biashara,shida yangu ni kutumiwa meseji zaidi ya kumi hata chini ya saa moja lakini iileile ya aina tangazo moja.Yaani unaweza dhani meseji ya maana kumbe ile ile ya Tangazo,haya mambo tulikuwa tunayasikia watumiaji wa Tigo wakilalamika lakini naona Vodacom nawao wameanza huo ujinga,kuna meseji ambayo inatia fora zaidi ya DAKA PESA yaani imekuwa kero.
Vodacom Tz,rekebisheni hilo mnaboa
Nimekuwa mtumiaji mzuri wa mtandao wa Vodacom kwa zaidi ya miaka kadhaa sasa,hawakuwa na tabia ya kutuma meseji ovyo ovyo kila mara hasa za matangazo,sikatai meseji kwasababu ni biashara,shida yangu ni kutumiwa meseji zaidi ya kumi hata chini ya saa moja lakini iileile ya aina tangazo moja.Yaani unaweza dhani meseji ya maana kumbe ile ile ya Tangazo,haya mambo tulikuwa tunayasikia watumiaji wa Tigo wakilalamika lakini naona Vodacom nawao wameanza huo ujinga,kuna meseji ambayo inatia fora zaidi ya DAKA PESA yaani imekuwa kero.
Vodacom Tz,rekebisheni hilo mnaboa