MKUU ACHA KUDANGANYA WATU ASEE NAANDIKA HII COMMENT MPAKA SASA NIPO KIBANDANI KWANGU: INGEKUA NI FAIDA YA HIVYO NAKUHAKIKISHIA WATU WANGEKUA MATAJIRI MTAANI.
IPO HIVI KWA MIHAMALA YA KUTOA.
5000-9999 FAIDA 187
10000-19999 FAIDA 230
20000-29999 FAIDA 294
50-99 ELFU: FAIDA 322
100K NI 460.
WE UMEITOA WAPI HIYO FAIDA YA MIHA.ALA WA SH 5000 ULIPWE 500 BAYO HIYO CAMISHENI HATA MTU ALIYE TOA LAKI MOJA HUWEZI IPATA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali umesema ukweli matra yasije kesho jioni yakavamia vibanda vya m-pesa
Ni haki yenu kudai ila tatizo wabongo hawajitambua naona hapa watu wengi wanakubezaVodacom tunawaomba mfanye marekebisho kwenye upande wa m-pesa hasa commission tunazopata sisi mawakala n ndogo sana ukilinganisha na mitandao mengine.
Mfano:
1. Mpesa mteja akitoa shs200,000/= wakala anapata commission ya shs 645
2. Halopesa mteja akitoa 200,000/= wakala anapata shs 1390
3. Pia mtoe tozo ya ten percent jumla ya commission mwisho wa mwezi mfano wakala mwisho wa mwezi akipata commission ya shs 100,000/= nyie mnachukua elfu kumi,, wakala anabakia na elfu tisini.
naona umeandka kwa herufi kubwa yenye uchungu ndan yake.nakuja pm kukudokezea tu jinsi tunavyopiga kazi.lengo langu ni kutaka kukwambia usiwe unapinga tu kila hoja.MKUU ACHA KUDANGANYA WATU ASEE NAANDIKA HII COMMENT MPAKA SASA NIPO KIBANDANI KWANGU: INGEKUA NI FAIDA YA HIVYO NAKUHAKIKISHIA WATU WANGEKUA MATAJIRI MTAANI.
IPO HIVI KWA MIHAMALA YA KUTOA.
5000-9999 FAIDA 187
10000-19999 FAIDA 230
20000-29999 FAIDA 294
50-99 ELFU: FAIDA 322
100K NI 460.
WE UMEITOA WAPI HIYO FAIDA YA MUHAMALA WA SH 5000? NDO ULIPWE 500 BAYO HIYO CAMISHENI HATA MTU ALIYE TOA LAKI MOJA HUWEZI IPATA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabepari ndio maana nikaachana na hii biashara.. Wahuni sana hawaVodacom tunawaomba mfanye marekebisho kwenye upande wa m-pesa hasa commission tunazopata sisi mawakala n ndogo sana ukilinganisha na mitandao mengine.
Mfano:
1. Mpesa mteja akitoa shs200,000/= wakala anapata commission ya shs 645
2. Halopesa mteja akitoa 200,000/= wakala anapata shs 1390
3. Pia mtoe tozo ya ten percent jumla ya commission mwisho wa mwezi mfano wakala mwisho wa mwezi akipata commission ya shs 100,000/= nyie mnachukua elfu kumi,, wakala anabakia na elfu tisini.
Mkuu weka hapa na sisi tujue iyo njia unayotumianaona umeandka kwa herufi kubwa yenye uchungu ndan yake.nakuja pm kukudokezea tu jinsi tunavyopiga kazi.lengo langu ni kutaka kukwambia usiwe unapinga tu kila hoja.
NB.siji kama tapeli kukwambia fanya ivi.au toa kias hiki .usome tu uelew then tuishie hapo .
Hapo ndo ulitakiwa useme mapema kua kuna njia zako unazo tumia unazo jua wewe kutengeneza faida hiyo ila biashara harisi ya M-PESA hutengenezi faida uliyo sema hapo labda uwe unatumia lipa kwa M-PESA.naona umeandka kwa herufi kubwa yenye uchungu ndan yake.nakuja pm kukudokezea tu jinsi tunavyopiga kazi.lengo langu ni kutaka kukwambia usiwe unapinga tu kila hoja.
NB.siji kama tapeli kukwambia fanya ivi.au toa kias hiki .usome tu uelew then tuishie hapo .
poa poaHapo ndo ulitakiwa useme mapema kua kuna njia zako unazo tumia unazo jua wewe kutengeneza faida hiyo ila biashara harisi ya M-PESA hutengenezi faida uliyo sema hapo labda uwe unatumia lipa kwa M-PESA.
Kwa Sasa sina shida ya kuja PM kwakua Nina taka kuachana na hii biashara kichaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana mteja m-pesa katoa 300,000/= commission nikapata 1,100/= na apo alikatwa 10,000/= gharama ya kutoa.Fikiria unawekea mteja 3M unapewa kamisheni ya 1720 hii mambo ya miamala ni hovyo sana tigo mteja anatoa laki mbili unapewa kamisheni 425 kweli hatuwezi kuendelea.
Kumbe jamaa alikuwa anatuingiza chaka!?!?!Hapo ndo ulitakiwa useme mapema kua kuna njia zako unazo tumia unazo jua wewe kutengeneza faida hiyo ila biashara harisi ya M-PESA hutengenezi faida uliyo sema hapo labda uwe unatumia lipa kwa M-PESA.
Kwa Sasa sina shida ya kuja PM kwakua Nina taka kuachana na hii biashara kichaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huoni alikua kasha nivuta niende PM akanielekeze yeye anavyo fanyaKumbe jamaa alikuwa anatuingiza chaka!?!?!
Hahahahah...ungeenda tu kumsikiliza mkuu,Huoni alikua kasha nivuta niende PM akanielekeze yeye anavyo fanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah tayari mkuu kasha nielekeza: kifup nampa hongera kwa kua mbunifu.Hahahahah...ungeenda tu kumsikiliza mkuu,...labda mbinu zingekufaa.
Safi sana...Tupe Darasa na sisi.Dah tayari mkuu kasha nielekeza: kifup nampa hongera kwa kua mbunifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakua yeye aliona ni busara nimfate PM naomba nawewe uje PMSafi sana...Tupe Darasa na sisi.
Mkuu namimi nije PM unipe maujanja ?hahahha imebidi nicheke umenikumbusha mbali.kipindi nafungua mpesa niliambiwa kukunja 400k kwa mwez ni kugusa.mwisho wa siku nikawa naambulia eflu 50 kwa mwez.nikaacha biashara
ila wale madogo wanaofungua mpesa za vibanda umiza waheshimun sana wanazidi hadi kamishen wenye fremu kubwa.nilipewa mchongo na mm nikaunga (nakuwaga faster sana kwenye fursa)
michanganuo yetu kwenye vibanda
WATEJA WAKIJA KUTOA HELA FADA IPO KAMA IFUATAVYO
5000 faida 500
10000 faida 500
11000 hadi 20000 faida 1000
21000 hadi 30000 faida 1500
40000 hadi 90000 faida 2000
10000 hadi 199999 faida 3000
200000 hadi 299999 faida 5000
300000 hadi 399999 faida 5500
400000 hadi 499999 faida 6000
huwa hatutoi zaid ya laki 500,000
kipindi tunatumia lipa kwa mpesa ndo pesa ilikuw tamu sana ila saiv tumebak na hizo faida.ukifanya mpesa kama mpesa asee unaumia wala huwez kusonga mbele.
ukitaka kuwin biashara yoyote fikiria nje ya box.