Vodacom tunaomba mfanye marekebisho kwenye commission

Afadhali umesema ukweli matra yasije kesho jioni yakavamia vibanda vya m-pesa
MKUU ACHA KUDANGANYA WATU ASEE NAANDIKA HII COMMENT MPAKA SASA NIPO KIBANDANI KWANGU: INGEKUA NI FAIDA YA HIVYO NAKUHAKIKISHIA WATU WANGEKUA MATAJIRI MTAANI.

IPO HIVI KWA MIHAMALA YA KUTOA.

5000-9999 FAIDA 187
10000-19999 FAIDA 230
20000-29999 FAIDA 294

50-99 ELFU: FAIDA 322

100K NI 460.

WE UMEITOA WAPI HIYO FAIDA YA MIHA.ALA WA SH 5000 ULIPWE 500 BAYO HIYO CAMISHENI HATA MTU ALIYE TOA LAKI MOJA HUWEZI IPATA?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afadhali umesema ukweli matra yasije kesho jioni yakavamia vibanda vya m-pesa
wale watu hawachelewa(gi) asee. Sema mshikaji angesema kwa huduma ya lipa kwa M-PESA mtu alikua na uwezo wa kutengeneza hiyo faida ila nayo inahitaji wateja wa kutoa tu. Alafu kwa Sasa ndo ivo wanafungia lain zote za lipa kwa M-PESA ambazo zinatumiwa kama huduma ya m-pesa.

sio vizuri mtu kuandika taarifa za uongo kama Hana taarifa kamili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vodacom tunawaomba mfanye marekebisho kwenye upande wa m-pesa hasa commission tunazopata sisi mawakala n ndogo sana ukilinganisha na mitandao mengine.

Mfano:
1. Mpesa mteja akitoa shs200,000/= wakala anapata commission ya shs 645
2. Halopesa mteja akitoa 200,000/= wakala anapata shs 1390
3. Pia mtoe tozo ya ten percent jumla ya commission mwisho wa mwezi mfano wakala mwisho wa mwezi akipata commission ya shs 100,000/= nyie mnachukua elfu kumi,, wakala anabakia na elfu tisini.
Ni haki yenu kudai ila tatizo wabongo hawajitambua naona hapa watu wengi wanakubeza

Vodacom wao wanamiliki system tu ya M-PESA na nyinyi mmewekeza pesa zenu pamoja na mda wenu sio dhambi kudai kama mnaona mnapunjwa

Na ni kweli mnapunjwa mteja akitoa kwako tshs 200000 anakatwa fee zaidi ya elfu 5 sasa iweje we we wakala uliyowekeza mtaji wako na mda wako upewe tshs 640 alafu wao wanao miliki system tu wachukue zaidi ya tshs 4500

Kama mawakala wote mna umoja dai maslahi yenu yaboreshwe

Ukweli ni kwamba kama hakuna wakala wa M-PESA vodacom wao na system yao hawatapata hata shilingi moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKUU ACHA KUDANGANYA WATU ASEE NAANDIKA HII COMMENT MPAKA SASA NIPO KIBANDANI KWANGU: INGEKUA NI FAIDA YA HIVYO NAKUHAKIKISHIA WATU WANGEKUA MATAJIRI MTAANI.

IPO HIVI KWA MIHAMALA YA KUTOA.

5000-9999 FAIDA 187
10000-19999 FAIDA 230
20000-29999 FAIDA 294

50-99 ELFU: FAIDA 322

100K NI 460.

WE UMEITOA WAPI HIYO FAIDA YA MUHAMALA WA SH 5000? NDO ULIPWE 500 BAYO HIYO CAMISHENI HATA MTU ALIYE TOA LAKI MOJA HUWEZI IPATA?


Sent using Jamii Forums mobile app
naona umeandka kwa herufi kubwa yenye uchungu ndan yake.nakuja pm kukudokezea tu jinsi tunavyopiga kazi.lengo langu ni kutaka kukwambia usiwe unapinga tu kila hoja.

NB.siji kama tapeli kukwambia fanya ivi.au toa kias hiki .usome tu uelew then tuishie hapo .
 
Vodacom tunawaomba mfanye marekebisho kwenye upande wa m-pesa hasa commission tunazopata sisi mawakala n ndogo sana ukilinganisha na mitandao mengine.

Mfano:
1. Mpesa mteja akitoa shs200,000/= wakala anapata commission ya shs 645
2. Halopesa mteja akitoa 200,000/= wakala anapata shs 1390
3. Pia mtoe tozo ya ten percent jumla ya commission mwisho wa mwezi mfano wakala mwisho wa mwezi akipata commission ya shs 100,000/= nyie mnachukua elfu kumi,, wakala anabakia na elfu tisini.
Mabepari ndio maana nikaachana na hii biashara.. Wahuni sana hawa
 
Sijui kwanini duniani mnyonge anaishi kama mwenye nguvu na mwenye nguvu anaishi kama mnyonge.

Katika nchi wenye nguvu ni Raia na sio serikali ila serikali ndo inaishi kama ndio wenye nguvu

Katika biashara ya Mobile money wenye nguvu ni Mawakala na Wateja ila Service Providers ndo wanaishi kana kwamba wao ndio wenye nguvu.

Ukitaka kujua kama Mawakala na Raia ndio wenye nguvu tuzisusie hizo huduma zao tuone watafanyaje.

TUJITAMBUE.
 
naona umeandka kwa herufi kubwa yenye uchungu ndan yake.nakuja pm kukudokezea tu jinsi tunavyopiga kazi.lengo langu ni kutaka kukwambia usiwe unapinga tu kila hoja.

NB.siji kama tapeli kukwambia fanya ivi.au toa kias hiki .usome tu uelew then tuishie hapo .
Mkuu weka hapa na sisi tujue iyo njia unayotumia
 
naona umeandka kwa herufi kubwa yenye uchungu ndan yake.nakuja pm kukudokezea tu jinsi tunavyopiga kazi.lengo langu ni kutaka kukwambia usiwe unapinga tu kila hoja.

NB.siji kama tapeli kukwambia fanya ivi.au toa kias hiki .usome tu uelew then tuishie hapo .
Hapo ndo ulitakiwa useme mapema kua kuna njia zako unazo tumia unazo jua wewe kutengeneza faida hiyo ila biashara harisi ya M-PESA hutengenezi faida uliyo sema hapo labda uwe unatumia lipa kwa M-PESA.

Kwa Sasa sina shida ya kuja PM kwakua Nina taka kuachana na hii biashara kichaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu!. Kuna jambo ambalo hamlielewi kidogo.

Kwenye makato anayokatwa mteja, kuna msururu wa wanaohitaji hiyo Commission:
1)Wakala aliyemuwekea mteja
2)Wakala aliyemtolea mteja
3)Wakala Mkuu (Super agent) aliyemhudumia Wakala wa kawaida
4)Meneja wa Eneo apate chake pia
5)Serikali ipate VAT
6)Vodacom nao wapate chao kidogo

Kwa hiyo, ni mgawanyo kwa kila aliyehusika na huo muamala kupata kidogo kidogo.
 
hahahha imebidi nicheke umenikumbusha mbali.kipindi nafungua mpesa niliambiwa kukunja 400k kwa mwez ni kugusa.mwisho wa siku nikawa naambulia eflu 50 kwa mwez.nikaacha biashara


ila wale madogo wanaofungua mpesa za vibanda umiza waheshimun sana wanazidi hadi kamishen wenye fremu kubwa.nilipewa mchongo na mm nikaunga (nakuwaga faster sana kwenye fursa)


michanganuo yetu kwenye vibanda

WATEJA WAKIJA KUTOA HELA FADA IPO KAMA IFUATAVYO


5000 faida 500
10000 faida 500
11000 hadi 20000 faida 1000
21000 hadi 30000 faida 1500
40000 hadi 90000 faida 2000
10000 hadi 199999 faida 3000
200000 hadi 299999 faida 5000
300000 hadi 399999 faida 5500
400000 hadi 499999 faida 6000
huwa hatutoi zaid ya laki 500,000



kipindi tunatumia lipa kwa mpesa ndo pesa ilikuw tamu sana ila saiv tumebak na hizo faida.ukifanya mpesa kama mpesa asee unaumia wala huwez kusonga mbele.

ukitaka kuwin biashara yoyote fikiria nje ya box.
Mkuu namimi nije PM unipe maujanja ?
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom