Vodacom Tanzania yapata CEO Mpya, Hisham Hendi raia wa Misri

Wapo hadi wanaosema mwarabu aliwafundisha kunawa mævi na kula kwa mkono wa kulia,jiulize penye jamii duni kama hii kwanini tusiendele kuleteana uchawi?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Mimi ni Mtanzania ninayependa kuangalia mambo objectively. Siyo bendera kufuata upepo. Nakubaliana na wewe. Huu ni ujinga uliokithiri. Syvia wa Kenya alibaguliwa kwa sababu ya ngozi yake. Ni bora angebaguliwa na Wazungu. Hili la kubaguliwa na Weusi wenzie linasikitisha sana. Kama kweli walimaanisha kuwa kuna Watanzania wenye uwezo wa kuongoza Vodacom kwa nini wametuletea raia wa Misri? Aliyempa kibali Mmisri hakukumbuka kuwa alimnyima kibali Mkenya? Umoja wetu wa EAC uko wapi?
Wakenya si watu wa kushobokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point unayo mahala fulani lakini unachanganya mambo mjomba..
Sidhani kama kuna mtambo wa General tyre uliibiwa na kupelekwa YANA Kenya.

Kutumia watu wenye ujuzi zaidi yenu kutoka mahala fulani tofauti na nyie sio dhambi, hapo ndipo pale TISS wanatakiwa wafanye kazi kuhahakisha huyo mtu muhimu yupo kwa manufaa ya Watanzania na tanzania.
Usijaribu sumu kwa kuionja. TISS wanawezafanya kazi nyingine na si kumweka mtu una mashaka naye naye eti ili TISS wamfatilie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala LA Dada wa Kenya,na msuguano wa Kenya na TZ,ni kubwa kuliko unavyolifahamu,
Kwanza hatuna Vita ya kiuchumi kati yetu na Misri,tuna vita ya kiuchumi kati yetu na Kenya,unajua kilichotokea kwenye kiwanda cha General Tyre?watu waliingia pale kijasusi,wakashika uongozi,wakahujumu kiwanda,kikafa,mitambo ikahamishiwa Kenya,sasa HV ni Yana,sio General tyre tena,
Ukiruhusu kampuni kubwa kama Vodacom,iwe na CEO kutoka nchi,ambayo,MNA ugomvi nayo wa kiuchumi,ikihujumiwa uchumi wa nchi utayumba balaa,
Hivi vitu ni vikubwa sana.Kuna CEO wa Huawei,mchina,kashikwa kule CANADA,na USA inataka apelekwe USA,akashitakiwe kwa wizi wa tekinolojia,China na USA ni wapinzani kwenye uchumi,ukilala umeliwa.
Uwezi kusikia USA,imegombana na India,wakati wahandisi na madakitari kibao kutoka India wanafsnya kazi kwenye vitengo nyeti pale USA.
Hatuna shida na Zambia,watu wake wamejaa Tazara,hatuna shida na SA,wala Uganda,lakini Kenya,tuna shida nao sana,wakipata nafasi,wanaweza kuifanya nchi hii soko LA bidhaa zao.
Unakumbuka ishu ya vifaranga?
Nashukuru Maghufuri kwenye vita ya kiuchumi,ameiwezea sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Big up 100%
 
Rudi shule uongeze maarifa. Hujui kua hii EAC ya sasa ni kwa mara pili, hujui kua iliwahi kuwepo na ikavunjika?
Nadhani wewe ndio urudi shule maana huwezi andika vitu vizuri nadhnli elimu yako yakukariri umeshindwa hata kutofautisha kati ya newly EAC na the old one in writing ...nonsense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli hizo tuhuma ni za muda mrefu. But then vodacom si ya tanzania.. ni ya south africa.
Wether angekuja mkenya au lah still tupo pale pale.
Okay mkenya amekataliwa.. kaajiriwa mwarab.. wha next. Lini tutashika nafasi hizo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Issue sio kwamba kampuni ni yetu au sio yetu bali ni kampuni inayofanya kazi Tanzania! Bila kujali inamilikiwa na nani, huwezi kupuuza ajira walizonazo Watanzania kutoka Vodacom! Huwezi kupuuza kodi inayolipwa na Vodacom!!! Huwezi kupuuza biashara kadhaa zinazotokana na uwepo wa Vodacom! Lakini kubwa zaidi, huwezi kupuuza kwamba Vodacom ipo listed Dar es salaam Stock Exchange na kwahiyo kuna maelfu ya Watanzania wenye hisa zao Vodacom kupitia 25% ya hisa ambazo ziliingizwa sokoni!

Lakini pamoja na hayo, Rostam Aziz alikuwa anamiliki zaidi ya 25% ya hisa za Vodacom ambazo iliripotiwa aliziuza au yupo njiani kuziuza baada ya kukubaliwa na mamlaka! You never know, labda mnunuzi au wanunuzi wa hizo 25+% ya hisa za Rostam ni pamoja na Watanzania!!!

So, kampuni kama hiyo huwezi kusema awe Mkenya au Mzulu, it doesn't matter kwa sababu Vodacom ni ya SA !!!
 
Back
Top Bottom