Vodacom Tanzania yapata CEO Mpya, Hisham Hendi raia wa Misri

Mimi ni Mtanzania ninayependa kuangalia mambo objectively. Siyo bendera kufuata upepo. Nakubaliana na wewe. Huu ni ujinga uliokithiri. Syvia wa Kenya alibaguliwa kwa sababu ya ngozi yake. Ni bora angebaguliwa na Wazungu. Hili la kubaguliwa na Weusi wenzie linasikitisha sana. Kama kweli walimaanisha kuwa kuna Watanzania wenye uwezo wa kuongoza Vodacom kwa nini wametuletea raia wa Misri? Aliyempa kibali Mmisri hakukumbuka kuwa alimnyima kibali Mkenya? Umoja wetu wa EAC uko wapi?

View attachment 1054930
Waafrika alieturoga alituweza sana.

Mwaka jana Vodacom ikateua raia mwanamama mmoja kutoka Kenya kuja kua mkurugenzi wake, maneno yakawa maneno kua kwani tumekosa mtanzania wa kushika hizo nafasi na mambo kede kede, serikali ikamnyima kibali cha kazi. Dada wa watu akaendelea na maisha yake huko kwao Kenya.

Sasa Vodacom wameteua mwarabu kutoka Misri kua mkurugenzi wake, zile kelele za mwaka jana hazisikiki tena, maana yake hatutaki waafrika wenzetu ila tunataka watu wenye ngozi nyeupe. Kwanza tunaweza kumnyima mkenya kibali cha kufanya kazi Tanzania ila tukampa mwarabu wa Misri, sijui akili za wapi hizi.

Kwa hiyo ikifika kwa ngozi nyeupe hadithi za wazawa zinakufa, ila ikiwa ni mweusi mwenzetu hadithi za wazawa wapewe fursa ndio zinaibuka.

Binafsi hua sikubaliani na hoja ya uzawa, kwenye ulimwengu ulioendelea watu wenye uwezo binafsi wanataftwa kutoka kila mahali wakafanye mabadiliko na kuongoza taasisi za nchi nyingine. Uingereza ilimkodi Gavana wa benki ya Canada ili awe Gavana wao awasaidie kurekebisha uchumi, mkuu wa Google ni mhindi na mifano iko mingi.

Hoja yangu ni kwamba, kwa nini mkenya tulimkatalia kwa hoja ya uzawa alafu tumekubali mwarabu wa Misri?
 
View attachment 1054930
Waafrika alieturoga alituweza sana.

Mwaka jana Vodacom ikateua raia mwanamama mmoja kutoka Kenya kuja kua mkurugenzi wake, maneno yakawa maneno kua kwani tumekosa mtanzania wa kushika hizo nafasi na mambo kede kede, serikali ikamnyima kibali cha kazi. Dada wa watu akaendelea na maisha yake huko kwao Kenya.

Sasa Vodacom wameteua mwarabu kutoka Misri kua mkurugenzi wake, zile kelele za mwaka jana hazisikiki tena, maana yake hatutaki waafrika wenzetu ila tunataka watu wenye ngozi nyeupe. Kwanza tunaweza kumnyima mkenya kibali cha kufanya kazi Tanzania ila tukampa mwarabu wa Misri, sijui akili za wapi hizi.

Kwa hiyo ikifika kwa ngozi nyeupe hadithi za wazawa zinakufa, ila ikiwa ni mweusi mwenzetu hadithi za wazawa wapewe fursa ndio zinaibuka.

Binafsi hua sikubaliani na hoja ya uzawa, kwenye ulimwengu ulioendelea watu wenye uwezo binafsi wanataftwa kutoka kila mahali wakafanye mabadiliko na kuongoza taasisi za nchi nyingine. Uingereza ilimkodi Gavana wa benki ya Canada ili awe Gavana wao awasaidie kurekebisha uchumi, mkuu wa Google ni mhindi na mifano iko mingi.

Hoja yangu ni kwamba, kwa nini mkenya tulimkatalia kwa hoja ya uzawa alafu tumekubali mwarabu wa Misri?
Ameteuliwa na kampuni ila bado hajapata kibari cha kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala LA Dada wa Kenya,na msuguano wa Kenya na TZ,ni kubwa kuliko unavyolifahamu,
Kwanza hatuna Vita ya kiuchumi kati yetu na Misri,tuna vita ya kiuchumi kati yetu na Kenya,unajua kilichotokea kwenye kiwanda cha General Tyre?watu waliingia pale kijasusi,wakashika uongozi,wakahujumu kiwanda,kikafa,mitambo ikahamishiwa Kenya,sasa HV ni Yana,sio General tyre tena,
Ukiruhusu kampuni kubwa kama Vodacom,iwe na CEO kutoka nchi,ambayo,MNA ugomvi nayo wa kiuchumi,ikihujumiwa uchumi wa nchi utayumba balaa,
Hivi vitu ni vikubwa sana.Kuna CEO wa Huawei,mchina,kashikwa kule CANADA,na USA inataka apelekwe USA,akashitakiwe kwa wizi wa tekinolojia,China na USA ni wapinzani kwenye uchumi,ukilala umeliwa.
Uwezi kusikia USA,imegombana na India,wakati wahandisi na madakitari kibao kutoka India wanafsnya kazi kwenye vitengo nyeti pale USA.
Hatuna shida na Zambia,watu wake wamejaa Tazara,hatuna shida na SA,wala Uganda,lakini Kenya,tuna shida nao sana,wakipata nafasi,wanaweza kuifanya nchi hii soko LA bidhaa zao.
Unakumbuka ishu ya vifaranga?
Nashukuru Maghufuri kwenye vita ya kiuchumi,ameiwezea sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Point unayo mahala fulani lakini unachanganya mambo mjomba..
Sidhani kama kuna mtambo wa General tyre uliibiwa na kupelekwa YANA Kenya.

Kutumia watu wenye ujuzi zaidi yenu kutoka mahala fulani tofauti na nyie sio dhambi, hapo ndipo pale TISS wanatakiwa wafanye kazi kuhahakisha huyo mtu muhimu yupo kwa manufaa ya Watanzania na tanzania.
 
1. Rudi shule uongeze maarifa. Huo ugomvi wa kiuchumi na Kenya ulianza lini?mawazo ya kimaskini na kijinga kama haya ndio yanaturudisha nyuma. Sasa kama waliiba GT ni kosa la wezi au uzembe wa serikali, kwani walikua wanapitia wapi walipokua wanaiba kwenda Kenya? Unalaum wezi au unalaum serikali kushindwa kulinda rasilimali zake? Mbona ilipovunjika EAC na wakenya kuchukua ndege zote hakukua na vita ya kiuchumi? Eti vita ya kiuchumi. Ndio yale yale tuna vita ya kiuchumi na mabeberu alafu tunaenda kuwaomba misaada.

2. Kwani Vodacom ni kampuni na mali ya Tanzania? Ikiibiwa Vodacom wewe inakuhusu nini?

3. Kuhusu Huawei hujui chochote, tafta vyanzo vingine vya taarifa vikujuze kuhusu mhasibu wa Huawei, Meng anaeshikiliwa Canada. Mambo ya kuiba teknolojia umeyatoa wapi?
Sijaona hoja yoyote zaidi ya chuki na ubishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point unayo mahala fulani lakini unachanganya mambo mjomba..
Sidhani kama kuna mtambo wa General tyre uliibiwa na kupelekwa YANA Kenya.

Kutumia watu wenye ujuzi zaidi yenu kutoka mahala fulani tofauti na nyie sio dhambi, hapo ndipo pale TISS wanatakiwa wafanye kazi kuhahakisha huyo mtu muhimu yupo kwa manufaa ya Watanzania na tanzania.
Unawapa kazi ngumu hao. Wao wanachojua ni kupambana na upinzani hasa wanaomkosoa MH

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa bwana mdogo Hisham Hendi. Ila huo ndio utakuwa mwisho wa career yake after three years.
Voda com dont believe that an MD will still perform after three yrs. So he shouldnt expect a contract renewal after three yrs.
Historically, the recent past two Vodacom MDs are on retirement leave.
Huwezi toka Voda ukaenda tena uswahilini kuajiriwa kama sijui meneja wa nini! Huu ndio mwisho wa career. Akitoka hapo akawe mkulima tu.

Uko misinformed. Baada ya post ya CEO kuna routes mbili tu; uende kwenye taasisi nyingine uongoze huko au ustaafu hiyo field uende field nyinginezo.

The immediate past CEO wa Vodacom Tanzania alikuwa CEO wa Vodacom hiyo hiyo Lesotho akawa promoted to a larger market. Na alishashika madaraka mengine kabla ya hayo ingekuwa the end asingetoka Lesotho to Tanzania.

Rene Meza CEO kabla ya Ian alikuwa CEO wa Tigo, akaenda kuwa CEO wa Airtel Kenya akaja kuwa CEO Vodacom Tanzania. Alipoondoka Tanzania alienda kuwa CEO Ooredoo Mynmar mpaka alipostaafu.

Huyu Hendi atamaliza hapa ataenda pengine kuwa CEO
 
kama wana uwezo wapewe mana wasomi wetu kama mnavyoona shughuli zao asaiv
IMG_20190327_094055.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Rudi shule uongeze maarifa. Huo ugomvi wa kiuchumi na Kenya ulianza lini?mawazo ya kimaskini na kijinga kama haya ndio yanaturudisha nyuma. Sasa kama waliiba GT ni kosa la wezi au uzembe wa serikali, kwani walikua wanapitia wapi walipokua wanaiba kwenda Kenya? Unalaum wezi au unalaum serikali kushindwa kulinda rasilimali zake? Mbona ilipovunjika EAC na wakenya kuchukua ndege zote hakukua na vita ya kiuchumi? Eti vita ya kiuchumi. Ndio yale yale tuna vita ya kiuchumi na mabeberu alafu tunaenda kuwaomba misaada.

2. Kwani Vodacom ni kampuni na mali ya Tanzania? Ikiibiwa Vodacom wewe inakuhusu nini?

3. Kuhusu Huawei hujui chochote, tafta vyanzo vingine vya taarifa vikujuze kuhusu mhasibu wa Huawei, Meng anaeshikiliwa Canada. Mambo ya kuiba teknolojia umeyatoa wapi?
Wewe ndio choka mbaya kabisa! Hujui mambo ya uchumi yanaendaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1054930
Waafrika alieturoga alituweza sana.

Mwaka jana Vodacom ikateua raia mwanamama mmoja kutoka Kenya kuja kua mkurugenzi wake, maneno yakawa maneno kua kwani tumekosa mtanzania wa kushika hizo nafasi na mambo kede kede, serikali ikamnyima kibali cha kazi. Dada wa watu akaendelea na maisha yake huko kwao Kenya.

Sasa Vodacom wameteua mwarabu kutoka Misri kua mkurugenzi wake, zile kelele za mwaka jana hazisikiki tena, maana yake hatutaki waafrika wenzetu ila tunataka watu wenye ngozi nyeupe. Kwanza tunaweza kumnyima mkenya kibali cha kufanya kazi Tanzania ila tukampa mwarabu wa Misri, sijui akili za wapi hizi.

Kwa hiyo ikifika kwa ngozi nyeupe hadithi za wazawa zinakufa, ila ikiwa ni mweusi mwenzetu hadithi za wazawa wapewe fursa ndio zinaibuka.

Binafsi hua sikubaliani na hoja ya uzawa, kwenye ulimwengu ulioendelea watu wenye uwezo binafsi wanataftwa kutoka kila mahali wakafanye mabadiliko na kuongoza taasisi za nchi nyingine. Uingereza ilimkodi Gavana wa benki ya Canada ili awe Gavana wao awasaidie kurekebisha uchumi, mkuu wa Google ni mhindi na mifano iko mingi.

Hoja yangu ni kwamba, kwa nini mkenya tulimkatalia kwa hoja ya uzawa alafu tumekubali mwarabu wa Misri?

Jiwe anadhani anaweza kuwakomoa Wakenya halafu akabaki salama. Mungu Jehovah tuonee huruma viumbe wako wa nchi hii. Tunakusihi kwa Jina la Yesu Kristo wa Nazareth mwana wako na Bwana wetu.
 
Suala LA Dada wa Kenya,na msuguano wa Kenya na TZ,ni kubwa kuliko unavyolifahamu,
Kwanza hatuna Vita ya kiuchumi kati yetu na Misri,tuna vita ya kiuchumi kati yetu na Kenya,unajua kilichotokea kwenye kiwanda cha General Tyre?watu waliingia pale kijasusi,wakashika uongozi,wakahujumu kiwanda,kikafa,mitambo ikahamishiwa Kenya,sasa HV ni Yana,sio General tyre tena,
Ukiruhusu kampuni kubwa kama Vodacom,iwe na CEO kutoka nchi,ambayo,MNA ugomvi nayo wa kiuchumi,ikihujumiwa uchumi wa nchi utayumba balaa,
Hivi vitu ni vikubwa sana.Kuna CEO wa Huawei,mchina,kashikwa kule CANADA,na USA inataka apelekwe USA,akashitakiwe kwa wizi wa tekinolojia,China na USA ni wapinzani kwenye uchumi,ukilala umeliwa.
Uwezi kusikia USA,imegombana na India,wakati wahandisi na madakitari kibao kutoka India wanafsnya kazi kwenye vitengo nyeti pale USA.
Hatuna shida na Zambia,watu wake wamejaa Tazara,hatuna shida na SA,wala Uganda,lakini Kenya,tuna shida nao sana,wakipata nafasi,wanaweza kuifanya nchi hii soko LA bidhaa zao.
Unakumbuka ishu ya vifaranga?
Nashukuru Maghufuri kwenye vita ya kiuchumi,ameiwezea sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
umeweka suala hili vizuri kbs... thanks...
 
Back
Top Bottom