sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
Vodacom mlichonifanyia sio sawa. Nilikuwa na 142,000 tarehe 1 April asubuhi. Nikajiunga na red relax ya elfu 50. Leo nimemuunga rafiki bundle la 2500 nacheki balance nakuta 40,000.
Nikapiga call centre wamenambia niliweka la kujirudia. Sijawahi hata siku moja kuweka la kujirudia ina maana ya kwamba mmeniibia elfu 50.
Tafadhali nahitaji kurudishiwa elfu 50 yangu Mchukue hilo bando lenu mliloliweka bila idhini yangu. Huu ni uwizi wa kimachomacho.
Cha kuchekesha mnaniambia kifurushi cha kujirudia kimeungwa saa nne asubuhi. Wakati siku zote mimi kujiunga mwenyewe saa 12 asubuhi haijawahi kufika saa nne ili kuepuka hela kuisha na niweze kuwasiliana. Rudisheni elfu 50 yangu acheni uwizi
Nikapiga call centre wamenambia niliweka la kujirudia. Sijawahi hata siku moja kuweka la kujirudia ina maana ya kwamba mmeniibia elfu 50.
Tafadhali nahitaji kurudishiwa elfu 50 yangu Mchukue hilo bando lenu mliloliweka bila idhini yangu. Huu ni uwizi wa kimachomacho.
Cha kuchekesha mnaniambia kifurushi cha kujirudia kimeungwa saa nne asubuhi. Wakati siku zote mimi kujiunga mwenyewe saa 12 asubuhi haijawahi kufika saa nne ili kuepuka hela kuisha na niweze kuwasiliana. Rudisheni elfu 50 yangu acheni uwizi