Unavyosema simba bado sana unatakiwa uweke wazi bado kwenye jambo gani?Huo ndio ukweli kariba ya timu anazokutanazo na ndio maana Simba akikutana na timu zenye kuwaelewa mpaka mbeleko inatumika bwana mdogo tuache ushabiki mandaz Simba Bado Sana kwa kariba ya timu zetu anazocheza nazo
kilicho akilini kitumie
Inadepend je mpira wakat unapigwa mchezaj alikuwa ashazidi au bado kama alikuwa ashazidi hata kipa akitema hiyo ni offsideSheria 11
Aidha , Hakutakuwa na dhana ya kuotea pale mchezaji atakapokutana na mpira Uliochezwa na mlinda mlango .
kilicho akilini kitumie
achana naye huyo,wanajulia mpira ukubwaniInadepend je mpira wakat unapigwa mchezaj alikuwa ashazidi au bado kama alikuwa ashazidi hata kipa akitema hiyo ni offside
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndio ukweli kariba ya timu anazokutanazo na ndio maana Simba akikutana na timu zenye kuwaelewa mpaka mbeleko inatumika bwana mdogo tuache ushabiki mandaz Simba Bado Sana kwa kariba ya timu zetu anazocheza nazo
kilicho akilini kitumie
kwani unafikiri hawajui ukweli wanachofanya ni kujifarijiNyie vyura mnaolalamika haya endeleeni kulalamikaView attachment 1377148
Sent using Jamii Forums mobile app
Ktk jambo ambalo yanga wataingia mkumbo ni kufikiri kama imani yao inaweza kuhamisha milima.kama yanga waliangalia hii mechi na wasiwasi kama wanaweza kuleta timu maana wanajua kabisa tarehe 8 ni kipigo cha aibu nafikiri sasa hivi watakuwa wanangaika kwa waganga wawasaidie maana kwa mpira hawatuwezi ndio maana wanataka wamkabidhi Mkwasa hii timu maana mzungu hatakubali ujinga wao
Ni hivi:kabla mpira uliopanguliwa na Manula haujapigwa wachezaji 3 wa Azam walikuwa offside.Sheria 11
Aidha , Hakutakuwa na dhana ya kuotea pale mchezaji atakapokutana na mpira Uliochezwa na mlinda mlango .
kilicho akilini kitumie
Ila we Chura wa Kihansi huna shukrani aiseee. Yaani badala ya kutushukuru kuwa tumempunguzia Azam kasi ili Kwasukwasu FC yako iweze kumfikia na kukamata no.2 kwenye msimamo wa VPL,wewe unaanza kung'aka upuuzi gani?Azam wameonewa, sio offside ile ni clear goal.