Azam inajulikana ni tawi la simba, hapo wanawaachia makusudi, wasipowaachia bosi wao bahresa atakasirika
Nafasi ya upili yanga wataipatia wapi kama kila sehemu kumeshindiliwa misumari isiyong'oka?Ila we Chura wa Kihansi huna shukrani aiseee. Yaani badala ya kutushukuru kuwa tumempunguzia Azam kasi ili Kwasukwasu FC yako iweze kumfikia na kukamata no.2 kwenye msimamo wa VPL,wewe unaanza kung'aka upuuzi gani?
Ongea ukweli tu usilete ushabiki maandaz Simba Bado kisoka ukiachana na mazingira ya mbelekoWewe umeamua kutusumbua tu kichwani unaonekana una makamasi,unatia aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongea ukweli tu usilete ushabiki maandaz Simba Bado kisoka ukiachana na mazingira ya mbeleko
kilicho akilini kitumie
Mkuu punguza mapovu uongee kwa hoja.Ukisema Simba bado kisoka unatakiwa uweke reference point. Yawezekana bado kisoka ukilinganisha na Sevilla, sasa ongea kwa hoja, hasira na uoga weka kando kwanzaOngea ukweli tu usilete ushabiki maandaz Simba Bado kisoka ukiachana na mazingira ya mbeleko
Mkuu watakuja kukutukana shauri yakoBoli matata/ simba inasakata/
pata fleva tamu ukimix na kashata....../
ukimzuia luis atakufunga kahata/ Hii ndo simba iliyomtoa samata/ vyura hamuonekani mmezima na data..../
It's Scars
Umetisha ka Kahata..../Boli matata/ simba inasakata/
pata fleva tamu ukimix na kashata....../
ukimzuia luis atakufunga kahata/ Hii ndo simba iliyomtoa samata/ vyura hamuonekani mmezima na data..../
It's Scars
Umeandika kwa uchungu sanaMtu ambaye anasononeka ni MO licha ya kuwekeza fedha nyingi/Mabilioni bado anahitaji fedha nyingi ili kuhonga waamuzi ili timu ishinde mechi za ligi. Sasa itahitajika atumie fedha nyingi zaidi simba ikishiriki michuano ya Caf ili kuinusuru na vipigo vya goli tanotano.Mashabiki wa Mbumbumbu fc wao leo wanafurahia ushindi wa kutengenezwa hawajui kwenye mashindano ya Caf watalia na kusaga meno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba itashinda goal 2
kabisauko sahihi kabisa,wapige hata 3 ifanywe sub bench zima liingie tutunze kikosi cha Yanga. Yanga wanaleta mazoea ya kijinga sana
Kweli wamekupata.../Umetisha ka Kahata..../
Kwenye biti umenata.../
Haters wamefyata....../
Jpili tunawapakata...../
Nadhani wananipata../
Ashinde kwa halali siyo huo uharamia wanaoufanya.
Goli LA linesmen hilo tumeliona71' Kagereeeeeeee Goooooooooooooooooooaaal Gooaaal
Maddie Kagere anaandika bao la tatu akipata Mpira maridhawa wa krosi kutoka kwa Shomari Kapombeeee
Azam FC 2-3 Simba SC