Grena
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 657
- 1,543
Habari zenu wakuu,
Karibu wiki Sasa laini yangu ya Vodacom imekuwa na shida. Kila nikijaribu kupiga Ile namba ya huduma kwa wateja 100 ili wanipe maelekezo hamna Option ya kuzungumza na mhudumu zaidi ya zile bonyeza moja, Bonyeza this, Bonyeza that.
Inaamana Vodacom hawana option ya kuzungumza na mhudumu wa wateja moja kwa moja? Mbona mitandao mingine wako very simple ukipiga tu hiyo 100 baada ya option kadhaa unaambiwa kuzungumza na mhudumu wetu Bonyeza inatajwa namba na ndani ya muda mfupi wanakuunganisha naye.
Vodacom hebu kuweni professional, mnaudhi sana sio kila mtu yuko na access ya Voda shop that's why Kuna huduma kwa wateja kupitia sim.
Karibu wiki Sasa laini yangu ya Vodacom imekuwa na shida. Kila nikijaribu kupiga Ile namba ya huduma kwa wateja 100 ili wanipe maelekezo hamna Option ya kuzungumza na mhudumu zaidi ya zile bonyeza moja, Bonyeza this, Bonyeza that.
Inaamana Vodacom hawana option ya kuzungumza na mhudumu wa wateja moja kwa moja? Mbona mitandao mingine wako very simple ukipiga tu hiyo 100 baada ya option kadhaa unaambiwa kuzungumza na mhudumu wetu Bonyeza inatajwa namba na ndani ya muda mfupi wanakuunganisha naye.
Vodacom hebu kuweni professional, mnaudhi sana sio kila mtu yuko na access ya Voda shop that's why Kuna huduma kwa wateja kupitia sim.