maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,278
- 5,518
Nina tatizo nimepata kuhusu vodacom sasa nikapiga ile namba yao ya customer care 100 aisee nimeshangaa sana.
Nimehangangaika mpaka nimekata tamaa yaani wamekwepesha makusudi kile kipengele cha kuongea na mhudumu.
Kila kitu kina menu, ndani ya menu yaani utabonyeza moja then tatu then tano haifiki mwisho kabisa wala hamna option ya kuongea na mhudumu, nimekwazika kweli line nimekaa nayo 20 yrs leo nakosa msaada.
Mmekula mkavimbiwa mkajisahau.
Nimehangangaika mpaka nimekata tamaa yaani wamekwepesha makusudi kile kipengele cha kuongea na mhudumu.
Kila kitu kina menu, ndani ya menu yaani utabonyeza moja then tatu then tano haifiki mwisho kabisa wala hamna option ya kuongea na mhudumu, nimekwazika kweli line nimekaa nayo 20 yrs leo nakosa msaada.
Mmekula mkavimbiwa mkajisahau.