TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,529
- 11,306
Kunani kwenye huduma zao? Mbona mtandao unachukua muda mrefu sana? Leo imenilazimu kusubiri takribani nusu saa ili nipate pesa baada ya kutuma request ya kutoa pesa kupitia wakala. Hii haijakaa njema bana, tumekimbia foleni benki, tunakuja kukumbana na kusubiri huku.. Dah! Wakuu hebu nishaurini njia mbadala aisee.