Vodacom M-pesa wanatuhujumu

Vodacom M-pesa wanatuhujumu

Mr.Africa

Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
24
Reaction score
6
naomba watumiaji wa vodacom M pesa muwe makini inawezekana kampuni haina habari lakini nimepotelewa na Tsh. 65,000/- kwa kipindi cha wiki tatu, instalment mbili,mwanzo elfu kumi na tano,na jana elfu hamsini,na pia huduma kwa wateja haipatikani kwa miezi mitatu sasa,
a company with high reputation cant be cheap like this,who knows,posibly the second DECI.
 
duuu benki tunaibiwa na kwenye simu pia tunaibiwa sasa hizi hela itabidi tuzichimbie chini sasa.
 
JF ina kila aina ya watu! Na wewe una aina yako.
 
Ni rahisi sana kupata Huduma Kwa Wateja ya Vodacom kuliko kampuni nyingine za simu hapa nchini. Airtel ndiyo balaa zaidi! Kuhusu kupotea pesa jaribu kujikagua mwenyewe,isije ikawa kuna mtu wako wa karibu ndiye anakamua senti zako...
 
JF ina kila aina ya watu! Na wewe una aina yako.

ustarabu hauna receipt,mind you,this might end up to your belt one day,and what do i gain anyway if i dont compromise to people like you.
 
MIMI HUA SIWEKAGI HELA KWENYE SIMU ZIKAE TU BILA SABABU. Naingiza na kutuma saa hiyo hiyo, kiwango hicho hicho! Jinsi ya kuprove kama elezako zilikuwepo ni ishu kubwa, unaweza kupigwa changa la macho na polisi ukaitiwa. Take care. Use banks.
 
MIMI HUA SIWEKAGI HELA KWENYE SIMU ZIKAE TU BILA SABABU. Naingiza na kutuma saa hiyo hiyo, kiwango hicho hicho! Jinsi ya kuprove kama elezako zilikuwepo ni ishu kubwa, unaweza kupigwa changa la macho na polisi ukaitiwa. Take care. Use banks.

thank you!
 
Hata mm imeshatokea maraa mbili. Mara ya kwanza elfu kumi, na jana elfu thelathini. account ilikuwa na hela nikamtumia mtu Mpesa wakasema salio lako halitoshi, nikadhani mtandao mbovu. Baadae salio likaonyesha hela imeshatoka lakini niliyemtumia hajazipata hadi saa hii. I think pana tricks hapa.
 
Uandishi wako ni wa kikanjanja sijaupenda, unapoandika breaking news unatakiwa utujulishe inahusu nini kwenye heading, sawa mkuu?
 
Mi juzi sikugusa simu kabisa, na ilikua na sh 730 airtime, cha ajabu jioni nikakuta 480 nikajiuliza, kama wateja 1000,000, wamefanyiwa wizi huu, je mwizi anashilingi ngapi za airtime?
 
...who knows ? Might even be that his "nyumba ndogo" fleeced him of his balance from his phone! When I saw the heading as BREAKING NEWS, I thought it was really a breaking news, kumbe m2 kaibiwa na totoz yake balance ya Mpesa yake ! :-*
 
Mpesa,tigopesa,airtel money,ezypesa ni UPATU!siku kampuni ikifa utamdai nani pesa?mind hakuna deposits zao BOT
 
Hizi kampuni za simu hasa MPESA,Tigopesa...sa hv ni wizi mtupu.
 
Back
Top Bottom