naomba watumiaji wa vodacom M pesa muwe makini inawezekana kampuni haina habari lakini nimepotelewa na Tsh. 65,000/- kwa kipindi cha wiki tatu, instalment mbili,mwanzo elfu kumi na tano,na jana elfu hamsini,na pia huduma kwa wateja haipatikani kwa miezi mitatu sasa,
a company with high reputation cant be cheap like this,who knows,posibly the second DECI.
a company with high reputation cant be cheap like this,who knows,posibly the second DECI.