Vodacom M-pesa wanatuhujumu

Vodacom M-pesa wanatuhujumu

Jana na juzi vodacom mpesa walikuwa tatizo. Mie kuna jamaa nilimtumia elfu 82 juzi ikawa kila akitoa anaambiwa salio halitoshi. Hata hivyo jana usiku Vodacom walinirudishia pesa bila hata kuwapigia huduma kwa wateja. Pia ukiwasiliana kwa huduma kwa wateja huwa wanarudisha haraka sana.
 
mkuu ungewafata kwene customer service zao uombe statement yalishanitokea nikawafata wana print na kunipa
 
duuu benki tunaibiwa na kwenye simu pia tunaibiwa sasa hizi hela itabidi tuzichimbie chini sasa.
Kaka usipotoshe umma,izi ni misconception za watu wa mtaani asa vijiweni in short azina mashiko.......jenga utaratibu wa kupitia bank statement yako kila mara na kama kuna entry una wasi wasi nayo seek maelezo utaelimishwa
 
wana jamii mimi ni wakala wa hizo mapesa ya mtandao kwa siku nyingi sana na kajielimu kangu ka banking and finance kamenisaidia kuweza kubishana na hao wana mitandao, kwa VODA kwa kweli ni the best katika hii huduma kwa siku tatu kumekuwa na tatizo la transaction nyingi kuwa pending, unachohitajika kukifanya piga simu huduma kwa wateja akipokea binti kata simu mara nyingi wanakuwa hawana msaada wowote bt akipokea men bonga nae na anakusaidia fasta piga simu mara nyingi iwezekanavyo mwisho wa siku inakubali. hebu ni PM nikupe namba ya kuwapata hawa jamaa kirahisi bt wanakucharge airtime pindi unabonga nao sio bure kama 15000. Aitelmoney na Tigo ukikosea transaction andikia hasara fasta.
 
Usithubutu kupiga customer care wafanyakazi wamepinguziwa mishahara tangu januari watakujibu uozo na watakuyeyusha morali imeshuka sana sana wengi tumecha kazi nasikia wameenda kuokoteza watu mitaani wamewekwa customer care huduma sasa verry poor heri muhamie airtel
 
ustarabu hauna receipt,mind you,this might end up to your belt one day,and what do i gain anyway if i dont compromise to people like you.

LY 2012 division 4 nini? tasteless English!!!!!!!!!!!
 
naomba watumiaji wa vodacom M pesa muwe makini inawezekana kampuni haina habari lakini nimepotelewa na Tsh. 65,000/- kwa kipindi cha wiki tatu, instalment mbili,mwanzo elfu kumi na tano,na jana elfu hamsini,na pia huduma kwa wateja haipatikani kwa miezi mitatu sasa,
a company with high reputation cant be cheap like this,who knows,posibly the second DECI.

Baseless accusation!!; DO NOT MAKE POSTING THREADS HERE A HOBBY!
 
duuu benki tunaibiwa na kwenye simu pia tunaibiwa sasa hizi hela itabidi tuzichimbie chini sasa.
ukichimbia napo utaibiwa tu! Heri kama unazo kula tu mwanangu kifo kama vile israeli kahamia Tz!
 
Back
Top Bottom