Ni tatizo. Nimesafiri kwenda mahali nikawa nimeweka kakifurushi ka-Airtel OMG mwezi mzima. Nimefika huko Airtel iko slow mbaya. Sina la kufanya imebidi niendelee na Vodacom. Ushindani kwenye hili soko si perfect.
Kaahidi kuiboresha TTCL ifanye kazi kiushindani na hawa wengine. Ninaamini anaweza, tumpe muda.hivi yule January makamba yupo wizara gani vile?
si anautaka uprezida?