Vodacom kuna nini....network imekata ghafla!

Vodacom kuna nini....network imekata ghafla!

Impossible Future Tense.

Hawa jamaa kwa sasa hawapo vema. Nadhani kuna tatizo katika hii kampuni.

kaka si habari za kusadikika 4g inakuja na nokia solution network ndio wamepewa hio tenda.

sasa hivi mitambo ya voda wameiupgrade na inatumia single RAN. ina maana wanahitaji tu software upgrade kutupa lte.

na kama unatumia voda kuanzia mwez wa 10 mwaka huu utakua shahidi kuwa speed imeongezeka maradufu.

GDfDEDM.png


unaweza angalia hapa kwa info zaidi

Vodacom Tanzania deploys NSN Single RAN gear to improve voice, data nationwide
 
Mleta mada yuko sahihi wadau mtandao
kwasasa umekuwa kero sana niko Kgm
hali tete tangu jana kupiga kazi kuweka
vocha kazi yaani duh.

Mbaya zaidi huwa hawarudi muda wa hewani kama tigo wafanyo
 
kaka si habari za kusadikika 4g inakuja na nokia solution network ndio wamepewa hio tenda.

sasa hivi mitambo ya voda wameiupgrade na inatumia single RAN. ina maana wanahitaji tu software upgrade kutupa lte.

na kama unatumia voda kuanzia mwez wa 10 mwaka huu utakua shahidi kuwa speed imeongezeka maradufu.

GDfDEDM.png


unaweza angalia hapa kwa info zaidi

Vodacom Tanzania deploys NSN Single RAN gear to improve voice, data nationwide

Haya makampuni yanatufanyia uhuni tu, 4G? wakati hata 3G na 3.75G yenyewe haipo reliable yaani ni full magumashi, halafu hiyo 4G ni kwa ajili ya akina nani? Hii ndio kasumba ya watanzania kama si waafrika, yaani kukimbizana na mambo magumu ilihali mambo madogomadogo yametushinda
 
Bado tu siku M-Pesa ikipotea juu kwa juu sijui tutaanzia wapi.
 
Hi wana voda!

Vodacom dsm network imekata. Kuna nini tena? yaani no mawasiliano at all! Au ni ule muendelezo wao wa kubug kwenye vifurushi maana nyie ni kama moto wa vifuu!

tunajaribu kurudisha port iliyokuwa blocked kwenye pd...lol
 
There is a countrywide Vodacom network outage since 09h32. CDN team are trying to work on service restoration, All service has been affected inclusive NetAct & SWA.

Ndo message ya vodacom hiyo wametutumia hapa ofisini kwetu kibanda cha kuuza vocha karibu na matakomatako bar
mmmh ndio wapi hapo mkuu nataka krismasi hiii nije kupata moja mbili
 
Mi mwenyewe sijui niliwakosea nini,yaani hii namba 15544 inaniudhi sana

.
Shinda point 23000 zaidi msimu huu wa X-mass: Je Wachaga wanasifika kurudi nyumbani msimu wa huu Kwaaji
ya kufanya nini
1- Kuwinda
2- Kuhesabiwa
Jibu 1au2 kwenda 15544

.
.
VODACOM 15544
 
Mi nimewahama leo now niko na baba lao, wamenitapeli Kifurushi, nikipigiwa sipatikani, natuma sms zinagoma na zikikubali inafika siku ya pili, unatuma pesa bank inachukua saa zima kufika bank. To hell with the 4G,
 
Back
Top Bottom