Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,686
- 106,810
Kama ni la jero usifanyeKwa hiyo tusifanye software update kisa kuhofia bando kuisha?!
Kama ni la jero usifanyeKwa hiyo tusifanye software update kisa kuhofia bando kuisha?!
Nilichogundua internet ya Voda kama huitumii kuingiza HELA bora uachane nayo kabisa
Tumia Voda kama ni mfanyabiashara unahitaji MB ila kama ni matumizi mengine
Asee bakini airtel tu au halotel panatosha mnoooo kwa matumizi binafsi
Metered connection off..! Hapo bando si ndo litalika hatari. Metered connection inatakiwa iwe on mkuuAngalia settings za internet pia, kama unafanya tethering kwenye PC na una Windows 10+ kuna chance ya MB kulika kwa sababu ya automatic updates.
Put "Metered Connection" off.
Metered connection off..! Hapo bando si ndo litalika hatari. Metered connection inatakiwa iwe on mkuu
Mi nilijiunga cha 2500 mb 800 wiki, basi baada ya siku mbili tu kwisha, tena siangalii YouTube zaidi ya jf labda mara chache facebook
Ukikaa humu jf hawatakuona, nenda kwenye account yao ya twitter, kila komenti weka lalamiko lako, lazima wakutafute.Mnatunyanyasa jamani. Bundle lenyewe hili la kuunga unga.
Aisee sio sawa kabisa. Tatizo ni nini!??
Mnatunyanyasa jamani. Bundle lenyewe hili la kuunga unga.
Aisee sio sawa kabisa. Tatizo ni nini!??
Tupe mbadalatafuteni mbadala, kulalamika sio suluhu kuna options kibao asee
TTCL inafanya kazi mjini tuUmerogwa wewe! Unaacha kutumia TTCL GB1 unapata kwa buku siku nzima kupitia TPesa kifurushi kinaitwa Tam Tam Bundle unaenda kupambana na MIBEBERU ya South Africa! Ndio ukome sasa na bado