kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
UTI mbona imekua tatizo sana nahisi kuna ajenda ya siri
Kila mtu akienda hospital sahivi anaambiwa ana U.T.I mara hivi mara vile
Kila mtu anaambiwa ana U.T.I nahisi kuna biashara za dawa za U.T.I au maana gonjwa lenyewe halieleweki kabisa
Kila hosptali ukienda ndo U.T.I sijui hili gonjwa limetokana na nini maana hadi sasa maswali yamekua ni mengi kupita maelezo.
Nini kipo nyuma ya hili?
Kila mtu akienda hospital sahivi anaambiwa ana U.T.I mara hivi mara vile
Kila mtu anaambiwa ana U.T.I nahisi kuna biashara za dawa za U.T.I au maana gonjwa lenyewe halieleweki kabisa
Kila hosptali ukienda ndo U.T.I sijui hili gonjwa limetokana na nini maana hadi sasa maswali yamekua ni mengi kupita maelezo.
Nini kipo nyuma ya hili?