Aisee jamaa ni wezii...Hakuna cha software wala hardware Vodacom Tanzania wapuuzi tu
Voda nimebaki kutumia mpesa tu. Wezi wakimaifa.Mnatunyanyasa jamani. Bundle lenyewe hili LA kuunga unga...
Aisee sio sawa kabisa.
Tatizo ni nini!??
Ah.. kumbe tupo wengi eeh mm siku hz ni airtel money tu siweki vocha ya kukwangua yaani ile lazma tu itakatwa sijui huwa inaenda wapi!Hahahaaa jamani muwe postive basi... ila kabla ya kuwatuhumu inabidi mjiridhishe kwanza. Kipindi nina kale kasimu kadogo niliweka vocha ya airtel nataka niunge GB nitumie kwenye pc. Ile vocha nimeweka tu ikakatwa eti nimewasha data. Jamani nilipigwa ganzi..hivi kisim cha batani unawasha vp data.
Kwa kweli sku4 ukifika unajipongeza[emoji23]10gb haitoboi wiki
Airtel iko slow mpaka kero hapo labda ttcl na halitrl na zantel sana zantel haijawahi leta mbwembweKarbun ttcl na airtell huko mtaibiwa mpaka mjambe
Kama unafanya biashara na kuingiza hela inahalalisha kuibiwa MB zako? Haiwezekani 10gb ziishe siku mbili kwa matumizi yale yale ambapo zamani ilikuwa inamaliza wikiNilichogundua internet ya Voda kama huitumiii kuingiza HELA bora uachane nayo kabisa
Tumia Voda kama ni mfanyabiashara unahitaji MB ila kama ni matumizi mengine
Asee bakini airtel tu au halotel panatosha mnoooo kwa matumizi binafsi
Gh 10 mm kwangu sina nna week gb12 kwa elfu20kwa bei gan unapata gb 10
Hahahaaa jamani muwe postive basi... ila kabla ya kuwatuhumu inabidi mjiridhishe kwanza. Kipindi nina kale kasimu kadogo niliweka vocha ya airtel nataka niunge GB nitumie kwenye pc. Ile vocha nimeweka tu ikakatwa eti nimewasha data. Jamani nilipigwa ganzi..hivi kisim cha batani unawasha vp data.
labda anazungumzia ile bando unalipa 1000 wanakupa gb 1 uitumie ndani ya saa2 hata kama hujaimiliza yakitimia wanailambaAngalia setting yako ya Software updates