mtuwatu
Member
- Oct 21, 2009
- 95
- 2
Kuna utata wa ajabu sana unaonishangaza hadi leo tangu mwanzo wa mwezi,hawa jamaa wa voda nimekua nao mwaka 5 sasa lakini wamenifanyia mambo ya kushangaza sana - kila ninaposafiri kwenda nchi nyingine kama Dubai napata vema mtandao na natumia salio vizuri kwa service provider wa huko (DU),SA nimetumia vodaSA bila tatizo na nchi zingine za jirani hawana tatizo sana! Mwaka jana niliondoka na voda hiyo kwenda USA nilipokea simu baada ya kuwa nimebond na at&t network provider mkubwa tu wa huko na matumizi hayakuwa mabaya kivilee!
Chakushangaza na bado nawashangaa hawa wafanyabiashara wakubwa ni pale ambapo wanakata hela nyingi sana mtu unapokua nchi za mbali ila hali katika matangazo yao mengi ni kwamba unaweza kupiga simu UK,USA,CANADA na kwingineko kwa 350/=tsh kwa dak. Juzi nimepiga kwenye simu yangu ya hapa hap US ya at&t na sikuipokea maana nilikua hapo hapo afu ikaingia kwenye automatic receiving maching ya voicemail niliposhtukia hivyo nikakata simu maana hamna haja ya kuacha ujumbe ili hali simu zote ni zangu. Ila sikuamini macho yangu nilipoangalia salio na kukuta wamekata 2,566/=tsh kwa sekunde mbilo (0.02). Niliamua kuwapigia network provider wangu wa hapa at&t wakaniambia wao wana mkataba rafiki na kampuni nyingi sana duniani na wao hawahusiki na account ya mteja wa kampuni rafiki kama ilivyo voda maana hata hawajui hata rate ya shilling na $ hivyo provider wangu ndo anahusika na makato yangu - hebu nisaidieni huu ni ungwana jamaani kwa hali hii ilivyo tight mtu anakula 2,566 kwa sekunde 2!!!
Chakushangaza na bado nawashangaa hawa wafanyabiashara wakubwa ni pale ambapo wanakata hela nyingi sana mtu unapokua nchi za mbali ila hali katika matangazo yao mengi ni kwamba unaweza kupiga simu UK,USA,CANADA na kwingineko kwa 350/=tsh kwa dak. Juzi nimepiga kwenye simu yangu ya hapa hap US ya at&t na sikuipokea maana nilikua hapo hapo afu ikaingia kwenye automatic receiving maching ya voicemail niliposhtukia hivyo nikakata simu maana hamna haja ya kuacha ujumbe ili hali simu zote ni zangu. Ila sikuamini macho yangu nilipoangalia salio na kukuta wamekata 2,566/=tsh kwa sekunde mbilo (0.02). Niliamua kuwapigia network provider wangu wa hapa at&t wakaniambia wao wana mkataba rafiki na kampuni nyingi sana duniani na wao hawahusiki na account ya mteja wa kampuni rafiki kama ilivyo voda maana hata hawajui hata rate ya shilling na $ hivyo provider wangu ndo anahusika na makato yangu - hebu nisaidieni huu ni ungwana jamaani kwa hali hii ilivyo tight mtu anakula 2,566 kwa sekunde 2!!!