vodacom huu si uongo?

vodacom huu si uongo?

dah wamebadilika now 25 mb kwa 250 af 50 mb kwa 450 then 100 mb kwa 700 na speed wanajtahd sio kama tigo
 
Mkuu unataka kutumia hicho kifurushi kwenye modem? Yatakuwa masikhara hayo sasa. Hicho matumizi yake kwenye simu.

...Wewe Wasema! Wao hawajasema kwamba hicho kifurushi kipya ni kwa ajili ya Simu tu! Usiwatetee, Ni wizi mtupu...!:spy:
 
Sasa hivi wanasema piga *102*250# OK, unapiga simu, utatuma sms na kutumia internet bila kikomo kwa siku moja kwa sh 250 tu. Meseji haielezi ni kuanzia na kuishia muda gani maana Vodacom nawafahamu kifurushi kilichonona hivyo hawawezi kukuachia mchana. Ebu angalia salio utaona hiyo service sms. Mimi sijajaribu maana connection yenyewe inanikatisha tamaa. Kama ni kweli watatuliza hasira zenu japo kwa muda.
 
...Wewe Wasema! Wao hawajasema kwamba hicho kifurushi kipya ni kwa ajili ya Simu tu! Usiwatetee, Ni wizi mtupu...!:spy:

Jifunze kureason ndugu yangu sio kutoa maneno tu..bundle ya 5MB unafungua nini sasa kwenye PC ukiwa na Modem..kinaisha kabla hujamaliza shughuli yako..jamaa wanakupa kisha wanakwambia download na music kwa akili ya haraka utadownload muziki kwa kifurushi cha 5MB? Sio kila kitu mpka uambiwe mkuu.
 
Jifunze kureason ndugu yangu sio kutoa maneno tu..bundle ya 5MB unafungua nini sasa kwenye PC ukiwa na Modem..kinaisha kabla hujamaliza shughuli yako..jamaa wanakupa kisha wanakwambia download na music kwa akili ya haraka utadownload muziki kwa kifurushi cha 5MB? Sio kila kitu mpka uambiwe mkuu.

ni 25 mb bana not 5 mb.... :welcome:
 
eti kwa 250 utaweza kudownload miziki,updates,habari za michezo mbalimbali kifurushi chenyewe unapewa Mb5.wakati unakuta nyimbo moja ina mb10. Wadau hii imekaaje?

Hizi ni lugha za kibiashara tuu kaka, lazima utumie maneno ambayo watu yawatavutia ili kuweza kununua
 
ni 25 mb bana not 5 mb.... :welcome:
Kijana hii post iliwekwa kabla Vodacom hawa-reload hiyo bundle so nilimjibu kwa namna hiyo...however sio wateja wote wanapata MB hizo..fahamu hilo.
 
Kijana hii post iliwekwa kabla Vodacom hawa-reload hiyo bundle so nilimjibu kwa namna hiyo...however sio wateja wote wanapata MB hizo..fahamu hilo.

nikweli... Ila airtel wanasifiwa kwa speed lakn hamja chunguza mikoani,. Yaan wana speed ya knyonga kama tigo... :bathbabby:
 
Jifunze kureason ndugu yangu sio kutoa maneno tu..bundle ya 5MB unafungua nini sasa kwenye PC ukiwa na Modem..kinaisha kabla hujamaliza shughuli yako..jamaa wanakupa kisha wanakwambia download na music kwa akili ya haraka utadownload muziki kwa kifurushi cha 5MB? Sio kila kitu mpka uambiwe mkuu.

...Na-reason kwamba ni Wizi Mtupu! Mtoa huduma anatakiwa kuweka wazi kile anachoniuzia kwa maana hiyo mimi mteja ninapoamua kununua ninaaminikwamba ninanunua kile mtoa huduma anachotangaza kukiuza. Sio wajibu wangu kuumiza kichwa kuchokonoa katikati ya mstariya tangazo la mtoa huduma kujua ana maana gani anapotoa tangazo fulani!!
Hii inatokea hapa Bongo tu kwa sababu taasisi zetu zinazopaswa kutetea wateja zimelala na kuna watetezi kama nyinyi!
Kama bundle anazodai kutoa ni kwa ajili ya simu aseme hivyo na kuniacha mimi mteja niamue la kufanya na sio kuanza kutaka wateja wa-reason ana maana gani! Si kila mtu amepewa capacity ya ku-reason ndugu yangu!
 
eti kwa 250 utaweza kudownload miziki,updates,habari za michezo mbalimbali kifurushi chenyewe unapewa Mb5.wakati unakuta nyimbo moja ina mb10. Wadau hii imekaaje?

Wafanyabiashara wote hasa wakubwa wanapata faida katika mambo mawili

La kwanza kukwepa kodi napili kuibia wateja wao

I'd like to remind you on something
"Marketing is very effective tool in doing business"

Problem hapa ni wafanyabiashara wetu wanatumia marketing kufanya unfair business.
Always learn to their tricks
 
Back
Top Bottom