Tatigha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 1,952
- 2,030
Mmmh Kwa speed ya Internet ushawahi kujaribu halotel kweli?Haiwagusi voda kwa speed ya internet hawa jamaa ni balaa ila katatizo kao gharama
Mmmh Kwa speed ya Internet ushawahi kujaribu halotel kweli?Haiwagusi voda kwa speed ya internet hawa jamaa ni balaa ila katatizo kao gharama
Mi nilishaacha nna miaka, ila laini imo kwenye simu, inapokea sms na calls. Ila kuhusu kuweka salio siwezi.
nimewaacha naona wananitumia buku buku mpesa eti gawioHawa jamaa dawa yao ni kuwa na laini nyingi wakipinguza vifurushi we nae unahama hiyo laini na kuhamia kwenye nyingine ambayo hujaitumia mda. Na wakiona umeiterekeza laini yao kwa mda wanarudisha vifurushi ili wakushawishi kuitumia ndo tunavoenda nao hawa nyau sio voda tu hata tigo na nk.

,sijui wananifananisha na serikali.hata mie wamenitumia, nawakimbia leoHabari, Tumepitia na kufanya marekebisho kwa vifurushi vyetu vya Supa Uni ili kutoa huduma bora zaidi. Endelea kutumia Vodacom mtandao Supa. Vigezo kuzingatiwa.
Mkuu, kwa matumizi yako ya wastani, hiyo 10 GB unatumia muda gani kuimaliza?Kifurushi changu pendwa kimeingia doa.
Nikiwa mtumiaji mkubwa wa internet hiki kilikuwa kifurushi changu pendwa.
Tsh. 2500 kwa 500MB ni unrealistic hata kama una hela kiasi gani.
Sitawahama voda, ntaendelea kutumia kwa kupiga na sms.
Ila kwa upande wa internet ntatumia Smile. Kwa Tsh. 14500 napata 10GB ambayo unaipata kwa Tsh. 50K kwa voda.
Kwaheri internet ya voda.View attachment 1138880
Hivi huu mtandao wa voda jana na leo ni simu yangu tu au kuna wengine wana -struggle kama mimi
Unahamia wapi mkuu? Mimi nataka nihamie TTCLhata mie wamenitumia, nawakimbia leo
*148*00# unaenda kwenye ofa maalum then University ofa unachagua ila ni baadhi ya maeneo Moshi na ArushaHicho cha tigo unakipata kwa menu ipi ndugu
nimeshawatema leo leo voda hapa nimeifufua zantel yangu,Unahamia wapi mkuu? Mimi nataka nihamie TTCL
😀 weka bundle wewe, changia ufisadi kidogoMimi Voda natumia kupokelea tu mtu akinipigia
Sina hela ya kutupa babeweka bundle wewe, changia ufisadi kidogo
Wewe
Kama mimi