Vodacom free internet yet again :)) COMPLETELY OWENED.. do it FAST

Pouwa nitashukuru sana,maana hawa VOD.wana2chakachua ile mbayaaaaaa.
 
Dah hii imenipitaje? Au iliwekwa invisible na admin. Mbona mimi jtgs ndio forum yangu ol da time next time naomba unitag mkuu e2themiza
 
Thread za mwaka juzi mnazirudsha kwenye chati.
Hapa tunarushana....
Mods iondoeni kama vp!
 
Pole, hebu angalia thread imerushwa mwaka gani. naamini hujambo lakini.

.
Hii hutokana na forum tofauti tofauti
.
Kuna forums nyingine huwa ikitokea thread imepita kama mwaka hivi
mtu aki post tena huwa wana i close...
.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom