1. Kwamba huduma zenu ni kwa muda na kwa MB za bando?
2. Kwamba bando hu expire kwa siku au MB kuisha kutegemea kipi kinakuja mapema?
3. Kwamba mtandao umesua sua kwa takribani wiki nzima, ila nyie fidia yenu ni kwa masaa 24 tu, tena kuanzia usiku wa manane?
4. Hivi ni kwa kutuona je enyi ndugu?
5. Kwamba hamuoni taabu kuuthibitisha usemi wa nabii Issa kuhusiana na ugumu kwa tajiri kuingia mbinguni?
6. Kwa hakika uthibitisho wenu ni wa matendo!
2. Kwamba bando hu expire kwa siku au MB kuisha kutegemea kipi kinakuja mapema?
3. Kwamba mtandao umesua sua kwa takribani wiki nzima, ila nyie fidia yenu ni kwa masaa 24 tu, tena kuanzia usiku wa manane?
4. Hivi ni kwa kutuona je enyi ndugu?
5. Kwamba hamuoni taabu kuuthibitisha usemi wa nabii Issa kuhusiana na ugumu kwa tajiri kuingia mbinguni?
6. Kwa hakika uthibitisho wenu ni wa matendo!