Kiujumla bongo net ni chenga. Hata 3g ni ya kutafuta na tochi ukitoka hapa iko safi hapa shida. Hawajaituliza 3g wanatuzuga na 4g, tukumbuke 3g na 4g ni vifaa vinafungwa kwenye minara na kwa kuwa ni aghali kuna maeneo hawafungi na ndio sababu moja ya kufanya net iwe poor. Mfano Halotel walipoanza walifunga 3g minara yote hadi vijijini baadae kidogo wakaondoa minara ya vijijini. Hivyo kifupi hizi ni danganya toto tu! Yaani nitoke home kwenda posta kufuata 4g.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.