Voda unlimited bundle zimeyeyuka!?

Kang

JF-Expert Member
Jun 24, 2008
5,495
2,252
Leo katika kujaribu kununua ile daily unlimited ya 1000 nimeshindwa kuipata katika menu, badala yake kuna 500Mb kwa 1000. Ngoja niingie mtaani nikatafute Halotel sasa.
 
Leo katika kujaribu kununua ile daily unlimited ya 1000 nimeshindwa kuipata katika menu, badala yake kuna 500Mb kwa 1000. Ngoja niingie mtaani nikatafute Halotel sasa.



kanunue halotel tu
 
Dah mkuu Ilikuwa bado kidogo nifungue thread kuulizia hii kitu imekaaje, mimi nilikuwa nataka ya wiki ile ya 7000 nimekuta 10,000TSH-4GB
7,0000TSH-2GB
4,000TSH-1GB

Hii imezidi sasa inabidi serikali iingilie kati hii mitandao haiwezekani bei na huduma zinabadilishwa kimya kimya, angalau bei elekezi inayoeleweka iwekwe hata kama itakua juu lakini idumu kwa kipindi kinachoeleweka...out of curiosity kuna yoyote amewahi kutumia TTCL internet ?, Labda inaweza kuwa na manufaa zaidi
 
Dah mkuu Ilikuwa bado kidogo nifungue thread kuulizia hii kitu imekaaje, mimi nilikuwa nataka ya wiki ile ya 7000 nimekuta 10,000TSH-4GB
7,0000TSH-2GB
4,000TSH-1GB

Hii imezidi sasa inabidi serikali iingilie kati hii mitandao haiwezekani bei na huduma zinabadilishwa kimya kimya, angalau bei elekezi inayoeleweka iwekwe hata kama itakua juu lakini idumu kwa kipindi kinachoeleweka...out of curiosity kuna yoyote amewahi kutumia TTCL internet ?, Labda inaweza kuwa na manufaa zaidi

ni hao serikali ndio wanaopanga hivyo vifurushi, ndio maana unaona thread nyingi watu wanalalamika tigo, wengine zantel wengine voda wanashusha kwa pamoja.

TTCL wapo vizuri kuliko mitandao yote ila tatizo ni cdma speed ndogo na inataka hadi modem/simu issuport cdma.

unlimited mb, unlimited sms na dakika 700 kwa mwezi 28,000.

cheki vifurushi vyao hapa

http://www.ttcl.co.tz/Data_1X.asp
 
yani hata mimi nilitaka kununua kuingingia nimepigwa na butwaa nikaishia kuchukua 500mb kwa buku hapa kweli kazi tu!
f*#ck c.e.o wa fodacom, f*#k staff wote wa fodacom, f*#k gov officials wanaofaidika na hii kitu na wewe kama unafagilia huu uxenge f*#k you too!
 
Mkuu hii speed ya TTCL ni ndogo sana hata kustream haiwezi?

Sijawahi itumia na hapo wameandika 153kbps inamaana hapo unastream labda 140p. Hutafanya chochote cha maana.

wana evdo sina uhakika kama vifurushi vinakubali hio evdo ila kama vinakubali unaweza pata boost hadi around 2mbps ambayo itatosha kustream kawaida (sio hd).

Ngoja kama kuna anaeitumia ataelezea zaidi.
 
Nafikiri ni wakati muafaka serikali itoe majibu kuhusu haya makampuni ya simu... Tuliambiwa kuwa mkongo wa taifa utapunguza gharama za internet kwa kiasi kikubwa mimi naona ni kinyume chake..kama kuna ufisadi ulifanyika kwenye mkongo wa taifa tuambiwe. Internet ni kitu muhimu sana kwa sasa na sio anasa gharama zinabidi kupungua
 
Nafikiri ni wakati muafaka serikali itoe majibu kuhusu haya makampuni ya simu... Tuliambiwa kuwa mkongo wa taifa utapunguza gharama za internet kwa kiasi kikubwa mimi naona ni kinyume chake..kama kuna ufisadi ulifanyika kwenye mkongo wa taifa tuambiwe. Internet ni kitu muhimu sana kwa sasa na sio anasa gharama zinabidi kupungua

mi nafikiri si vyema mkonga wa Taifa kupewa hawa jamaa wa mobile data, Kunatakiwa kuwe na kampuni zinazosupply internet za waya majumbani hawa ndio wapewe hizo tenda.

unatakiwa mtu uwe na dedicated speed na ping na sio hawa mobile data ambao hawaeleweki kabisa.
 
vodacom lengo lao ni moja wanataka kupunguza wateja wanaona wanaelemewa
ila sisi hatutaki kusikia tunajipendekeza kwao.
 
Back
Top Bottom