mchillo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 500
- 224
Nakuunga mkono. Voda matangazo mengi, bei ghali na huduma za kubumba!Mkuu,pole sana.....ukisema tanzania ni nje ya Dar mkuu..... natumia tigo napata speed ya 2.5mbps asubuhi hadi usiku, wewe tu mkuu ujapenda kupata hiyo speed, hama uko voda jiunge na mitandao ya ukweli....Airtel,tiGO,TTCL,Zantel hii ndio mitandao ya ukweli... vodacom na SASATEL vimeo