Wanaoambiwa Vchr # doesn،t exist vchr zenu mkiangalia vizuri mtagundua ni mpya(zimeandikwa exp date 2013) ni tofauti na wale waliotuma mwanzoni kwan wao wali2mia zinazo exp 2011(za mwaka jana) hizo mpya hakuna m2 alie apply zikakubali(m2 yeyote ninaemfahamu i.e) so nadhan bado hazijafunguliwa till now
mdogo wangu kadharika imemtokea kwa upande wa hesb wanasema namber does nt exist try after two hours or contact bodi y mkopo mi nahs hawakujpanga kuhudumia wa2 wengi hivyo wako nyma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.