Thubutu ,mpunga haumwagwi hapa!!kwa mtandao gani inafanyaa kazi hiyo tunnel
Nimekupata kiongozi.... ila nimepita kwenye site ya hawa jamaa wanalimit 20GB kwa mwezi...speed ni rockin speed. sometimes asubuhi asubuhi inadunda hadi 800-900KBPS AU icheki kwenye screenshot
MB0NA UNAKAWIZA HIZO VOUCHER MKUU
Bado ujanishawishi mdau,Pd na Cproxy wanatoa 100mb za trial ukinogewa ndiyo kimoja.nikikutumia vocha nenda kwenye web account yako ya tunnelguru halafu login
na ui apply My Account : Free Anonymous Web Proxy , HTTP Tunnel , VPN Tunnel , ICMP Tunnel , DNS Tunnel , HTTP Proxy Provider : TunnelGuru.
account yako wala usiijaribu kuitumia kwenye computer nyengine wala computer moja isitumike na
account mbili tofauti. na hii vocha kama utaicopy ni bora uipaste kwenye notepade au microsoft word kwanza halafu
ndio uipaste kwenye account yako kwani inakopika na extra space.
na always ifungue tunnel guru from the same location. kama ni desktop , au mydocuments au popote pale lakini pawe
ni pale pale ulipoifungua kwa mara ya mwanzo. pia unaweza kubadili server. angalia katika website yao wana server 4
zinakubali mchakato
kanyaga twende but ujue Short cut is long cutBado ujanishawishi mdau,Pd na Cproxy wanatoa 100mb za trial ukinogewa ndiyo kimoja.
nasubiri kina shaffin simbamwene watoe feedback nijue utamu ulivyo wew unapromote biashara lazima utairemba uingize ndege tunduni
kanyaga twende but ujue Short cut is long cut
Jibu lako lina walakini mdau,kwa mtaji huo bora nibaki huku nilipo
mbona wewe ni underground ?
kwa taarifa yako hamruhusiwi haya madude