Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
La kasachika Tanga, Savoy Mbeya,
 
Yenu bar ubungo na matungucha kimara zingeendelea kuwepo kama isingekuwa upanuzi wa barabara ndio ulizigharimu.

Makondeko ya luguruni pamoja na kuwa upanuzi wa barabara umepita na eneo lkn jamaa alishafeli kitambo.
 
1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Nilidhani wewe ni ajuza kama mimi kumbe wa jana hapa

  1. Jasmeena, Kijitonyama
  2. Silent Inn, Mwenge
  3. La Prima, Victoria
  4. Lang'ata (FM), Kinondoni Makaburini
  5. DDC, Kariakoo
  6. Makondeko, Mbezi Luguruni
  7. Bahama Mama, Kimara
  8. Wapi Wapis Bar, Chang'ombe
  9. Lango la Jiji........
 
Huu mgahawa kupotea Tanzania imeniuma sana.Nilikuwa Mdau mzuri sana.Ulikuwa MILLENNIUM TOWER na SAMORA pale kona opposite na British council.

STEERS RESTAURANT.
1711258520381.jpg
 
Back
Top Bottom