gambakuffu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2010
- 424
- 416
Bora umemwambia, nishapekuliwa wallet uzuri pesa nyingi niliisunda ndani ya bag. Sina hamu na mademu wa Arusha nikifika huwa nawaona kama mabroo tu sishoboki nao, mi mitungi tu nikichoka haraka kulala. Halafu yanatongoza hadi wanaume haki wallahUnataka awe na sifa gani? Mademu wa Chugs ni wezi, wala mirungi, wavuta bange, wapenda ugomvi na ni wababe. Umejiandaaje mtoto wa mama?