Viwanja vya Pembamnazi-Kigamboni vimetelekezwa

Sijakuelewa mkuu, kama umemaanisha umbali mi nimenunua tuu kwaajili ya badae. Nina program ya kununua viwanja vingi, baada ya miaka mitatu patakua bei sana
Mkuu unanunuaje? Kwa kutumia real estate companies au kwa wanaouza individually? Na huko mbele...(baadae) una mpango Wa kuviuza au kuviendeleza?
 
Napenda kutalii sn,naweza kufunga safari kwenda mahali nisipopajua ili kwenda kurefresh mind tu

Siku moja nikapanga kwenda kutembelea buyuni,nasikia kuna beach Kali na samaki,and of course nilienda kuangalia km pananifaa Kwa makazi.Badi rafiki yangu kila nikitembea naona sifiki,hapo nishakata km dakika 50.nikafika sehemu nikauliza hapa panaitwaje nikaambiwa hapa kimbiji,huko unakoenda buyuni bado inabidi tena ukanyage mafuta,nikasema hapana Kwa kweli naishia hapa.Nikapiga lunch kimbiji Nikarudi
Ila kimbiji kuna beach Kali sn,lkn ni kijijini mno,baadae utakuja kuwa mji mzuri sn
 
Mkuu unanunuaje? Kwa kutumia real estate companies au kwa wanaouza individually? Na huko mbele...(baadae) una mpango Wa kuviuza au kuviendeleza?
Natumia real estates zinazoaminika na pia nanunua vile vinavyouzwaga na manispaa au jiji, kwa baadae vingine nitauza na vingine nitaendeleza itadepend na jinsi eneo litakavyokua wakati huo
 
Natumia real estates zinazoaminika na pia nanunua vile vinavyouzwaga na manispaa au jiji, kwa baadae vingine nitauza na vingine nitaendeleza itadepend na jinsi eneo litakavyokua wakati huo
Kuna sehemu manispaa au Jiji wanauza hapo dsm kwa sasahivi? Na hizo companies zinazoaminika kwa kuuza ni kama zipi kwa sasa mkuu? Maana nimefuatilia kiasi nikashangaa kwamba baadhi ya maeneo yanauzwa na companies tofauti tofauti, nikaogopa. Pia, mfanyakazi kusema anafanya kazi na more than one real estate company imenishitua aisee...! Msaada wako tafadhali
 
Kuna sehemu manispaa au Jiji wanauza hapo dsm kwa sasahivi? Na hizo companies zinazoaminika kwa kuuza ni kama zipi kwa sasa mkuu? Maana nimefuatilia kiasi nikashangaa kwamba baadhi ya maeneo yanauzwa na companies tofauti tofauti, nikaogopa. Pia, mfanyakazi kusema anafanya kazi na more than one real estate company imenishitua aisee...! Msaada wako tafadhali
Kwasasa sifahamu mradi wowote wa manispaa za dsm labda upite kuulizia, kuna miradi ilikuwepo siku zimepita sana, jiji la Dodoma kulikua na miradi ambayo ilichukuliwa yote, kwa mwaka huu sijafuatilia. Kibaha na bagamoyo mwaka jana walikua na miradi ya viwanja, sijajua kama bado ipo
Kuhusu real estates companies zipo nyingi tuu za uhakika, kuna kampuni mi ni mteja wao na nimepeleka watu wangu nao wamechukua wanalipa kidogo kidogo.
Kuhusu mfanyakazi kua katika kampuni mbili tofauti nahis huyu analipwa pale akileta mteja, kuna kijana mmoja alipeleka wateja watano katika kampuni akapewa kiwanja bure so nahis hawa wafanyakazi wanakua kama madalali.
 
Buyuni lami ikifika patakua karibu sana na feri, sasahivi kutoka buyuni had feri ni saa moja na dakika kumi hivi
Kumbe DSM ni kubwa sn..kuna sehemu inachukua saa moja naa na hapo hkn foleni

Kwa nn miaka yote hii hawapeleki lami buyuni?
 
Kwasasa sifahamu mradi wowote wa manispaa za dsm labda upite kuulizia, kuna miradi ilikuwepo siku zimepita sana, jiji la Dodoma kulikua na miradi ambayo ilichukuliwa yote, kwa mwaka huu sijafuatilia. Kibaha na bagamoyo mwaka jana walikua na miradi ya viwanja, sijajua kama bado ipo
Kuhusu real estates companies zipo nyingi tuu za uhakika, kuna kampuni mi ni mteja wao na nimepeleka watu wangu nao wamechukua wanalipa kidogo kidogo.
Kuhusu mfanyakazi kua katika kampuni mbili tofauti nahis huyu analipwa pale akileta mteja, kuna kijana mmoja alipeleka wateja watano katika kampuni akapewa kiwanja bure so nahis hawa wafanyakazi wanakua kama madalali.
Naomba nitumie hapa/au inbox majina ya hizo companies mkuu kama hutajali. Naogopa mno ninaposikia kwamba maeneo mengi kigamboni Yana migogori.
 
Back
Top Bottom