Viwanja vya Pembamnazi-Kigamboni vimetelekezwa

Viwanja vya Pembamnazi-Kigamboni vimetelekezwa

Kumbe DSM ni kubwa sn..kuna sehemu inachukua saa moja naa na hapo hkn foleni

Kwa nn miaka yote hii hawapeleki lami buyuni?
Jiji la Dar kwa muda mrefu linaongozwa na watu wasiofaa kuongoza Jiji kama hili.

Hili Jiji lingekuwa tishio kwa majiji makubwa ya ukanda huu.
 
Kwasasa sifahamu mradi wowote wa manispaa za dsm labda upite kuulizia, kuna miradi ilikuwepo siku zimepita sana, jiji la Dodoma kulikua na miradi ambayo ilichukuliwa yote, kwa mwaka huu sijafuatilia. Kibaha na bagamoyo mwaka jana walikua na miradi ya viwanja, sijajua kama bado ipo
Kuhusu real estates companies zipo nyingi tuu za uhakika, kuna kampuni mi ni mteja wao na nimepeleka watu wangu nao wamechukua wanalipa kidogo kidogo.
Kuhusu mfanyakazi kua katika kampuni mbili tofauti nahis huyu analipwa pale akileta mteja, kuna kijana mmoja alipeleka wateja watano katika kampuni akapewa kiwanja bure so nahis hawa wafanyakazi wanakua kama madalali.
Naomba nitumie hapa/au inbox majina ya hizo companies mkuu kama hutajali. Naogopa mno ninaposikia kwamba maeneo mengi kigamboni Yana migogori.
 
Nina kiwanja Tundwi Songani nilinunua manispaa ya Temeke 2012 ni beach plot ni mbali but I hope one day kutakua town.Mazingira ni mazuri mchanga safi kabisa.Kwa Dar hakuna umbali ukipata fursa ya kununua kiwanja nunua utakuja kunishukuru.
 
Aisee nadhani ni kama 80km kutoka ferry.
Hivi wameanza kuweka lami kutoka pale cheka kwenda Kimbiji?Nina site yangu Puna Ila naogopa kwenda Aisee.
 
Nje ya mada kidogo, vp vikindu- vianzi kuko poa? Kuna mtu anataka kunipiga 2m.
 
Yale Yale Puna kuna update yoyote wale walionunua miaka hiyo.

Kuna anayeuza kiwanja Buyuni close to beach?
 
Naomba nitumie hapa/au inbox majina ya hizo companies mkuu kama hutajali. Naogopa mno ninaposikia kwamba maeneo mengi kigamboni Yana migogori.
Digital auction Mart
Honest property inc
5 points real estates
Ardhi plan

Karibuni viwanja vipo kigamboni Kisiwani kwa mkorea vimepimwa na hati unapata
 
Yale Yale Puna kuna update yoyote wale walionunua miaka hiyo.

Kuna anayeuza kiwanja Buyuni close to beach?
Puna nilienda Mwezi wa 12 watu wanajenga kwa fujo.Naamini nikienda leo itakuwa pamebadilika Sana.Changamoto ni ile barabara kutoka cheka kwenda Buyuni.Siku ikiwekwa lami kule ndio Basi Tena.Ndungulile kuzubaa Sana.Kigamboni imedolola kwa sababu ya miundombinu ya Barabara. Walau ni bora ata angepewa Bashite angefanya Jambo.
 
Puna nilienda Mwezi wa 12 watu wanajenga kwa fujo.Naamini nikienda leo itakuwa pamebadilika Sana.Changamoto ni ile barabara kutoka cheka kwenda Buyuni.Siku ikiwekwa lami kule ndio Basi Tena.Ndungulile kuzubaa Sana.Kigamboni imedolola kwa sababu ya miundombinu ya Barabara. Walau ni bora ata angepewa Bashite angefanya Jambo.
Nina kiwanja kule nilinunua mwaka 2017 shida lami, nataka niende nikaweke nguzo
 
Nina kiwanja kule nilinunua mwaka 2017 shida lami, nataka niende nikaweke nguzo
Ok!Mimi nafikiri mwaka huu kuanza kupandisha.Ni kuzuri kumetulia Sana.Shida ni Barabara tu.
 
Back
Top Bottom