Dah mkuu vinauzwa na nani?Nilikuwa huko juzi, kiwanja kidogo cha kutosha kujenga nyumba unapata kwa laki tatu, 300k.
Tena ukitaka unalipa kwa awamu mbili.
Vya kigamboni sehemu gani mkuu?siyo kwa sasa mie nlitafuta nkaambiwa 24m wakati najipnga nilipie 14m ya awamu ya kwanza naenda ofisini naambiwa vimeisha nilitumia kampuni inaitwa cholemu
Mkuu unanunuaje? Kwa kutumia real estate companies au kwa wanaouza individually? Na huko mbele...(baadae) una mpango Wa kuviuza au kuviendeleza?Sijakuelewa mkuu, kama umemaanisha umbali mi nimenunua tuu kwaajili ya badae. Nina program ya kununua viwanja vingi, baada ya miaka mitatu patakua bei sana
Napenda kutalii sn,naweza kufunga safari kwenda mahali nisipopajua ili kwenda kurefresh mind tu
Siku moja nikapanga kwenda kutembelea buyuni,nasikia kuna beach Kali na samaki,and of course nilienda kuangalia km pananifaa Kwa makazi.Badi rafiki yangu kila nikitembea naona sifiki,hapo nishakata km dakika 50.nikafika sehemu nikauliza hapa panaitwaje nikaambiwa hapa kimbiji,huko unakoenda buyuni bado inabidi tena ukanyage mafuta,nikasema hapana Kwa kweli naishia hapa.Nikapiga lunch kimbiji Nikarudi
Ila kimbiji kuna beach Kali sn,lkn ni kijijini mno,baadae utakuja kuwa mji mzuri sn
Natumia real estates zinazoaminika na pia nanunua vile vinavyouzwaga na manispaa au jiji, kwa baadae vingine nitauza na vingine nitaendeleza itadepend na jinsi eneo litakavyokua wakati huoMkuu unanunuaje? Kwa kutumia real estate companies au kwa wanaouza individually? Na huko mbele...(baadae) una mpango Wa kuviuza au kuviendeleza?
Kuna sehemu manispaa au Jiji wanauza hapo dsm kwa sasahivi? Na hizo companies zinazoaminika kwa kuuza ni kama zipi kwa sasa mkuu? Maana nimefuatilia kiasi nikashangaa kwamba baadhi ya maeneo yanauzwa na companies tofauti tofauti, nikaogopa. Pia, mfanyakazi kusema anafanya kazi na more than one real estate company imenishitua aisee...! Msaada wako tafadhaliNatumia real estates zinazoaminika na pia nanunua vile vinavyouzwaga na manispaa au jiji, kwa baadae vingine nitauza na vingine nitaendeleza itadepend na jinsi eneo litakavyokua wakati huo
Aisee nadhani ni kama 80km kutoka ferry.Umbali wake upoje mkuu?
Pemba mnazi unapita kimbiji na Buyuni pia. Kutoka Pemba mnazi kwenyewe kuja Buyuni kwa bodaboda unalipa 2000.Km 50 kutoka ferry..unapita kimbiji? Au kunakaribiana umbali na Buyuni?
Kwasasa sifahamu mradi wowote wa manispaa za dsm labda upite kuulizia, kuna miradi ilikuwepo siku zimepita sana, jiji la Dodoma kulikua na miradi ambayo ilichukuliwa yote, kwa mwaka huu sijafuatilia. Kibaha na bagamoyo mwaka jana walikua na miradi ya viwanja, sijajua kama bado ipoKuna sehemu manispaa au Jiji wanauza hapo dsm kwa sasahivi? Na hizo companies zinazoaminika kwa kuuza ni kama zipi kwa sasa mkuu? Maana nimefuatilia kiasi nikashangaa kwamba baadhi ya maeneo yanauzwa na companies tofauti tofauti, nikaogopa. Pia, mfanyakazi kusema anafanya kazi na more than one real estate company imenishitua aisee...! Msaada wako tafadhali
MbaliAisee nadhani ni kama 80km kutoka ferry.
Buyuni lami ikifika patakua karibu sana na feri, sasahivi kutoka buyuni had feri ni saa moja na dakika kumi hiviPemba mnazi unapita kimbiji na Buyuni pia. Kutoka Pemba mnazi kwenyewe kuja Buyuni kwa bodaboda unalipa 2000.
Kumbe DSM ni kubwa sn..kuna sehemu inachukua saa moja naa na hapo hkn foleniBuyuni lami ikifika patakua karibu sana na feri, sasahivi kutoka buyuni had feri ni saa moja na dakika kumi hivi
Jiji la Dar kwa muda mrefu linaongozwa na watu wasiofaa kuongoza Jiji kama hili.Kumbe DSM ni kubwa sn..kuna sehemu inachukua saa moja naa na hapo hkn foleni
Kwa nn miaka yote hii hawapeleki lami buyuni?
Hamna foleni, robo safari ni lami na sehemu iliyobaki hamna lami, pakiwekwa lami nadhani kutoka hapo hadi feri inaweza kuchukua 30-40minutesKumbe DSM ni kubwa sn..kuna sehemu inachukua saa moja naa na hapo hkn foleni
Kwa nn miaka yote hii hawapeleki lami buyuni?
Naomba nitumie hapa/au inbox majina ya hizo companies mkuu kama hutajali. Naogopa mno ninaposikia kwamba maeneo mengi kigamboni Yana migogori.Kwasasa sifahamu mradi wowote wa manispaa za dsm labda upite kuulizia, kuna miradi ilikuwepo siku zimepita sana, jiji la Dodoma kulikua na miradi ambayo ilichukuliwa yote, kwa mwaka huu sijafuatilia. Kibaha na bagamoyo mwaka jana walikua na miradi ya viwanja, sijajua kama bado ipo
Kuhusu real estates companies zipo nyingi tuu za uhakika, kuna kampuni mi ni mteja wao na nimepeleka watu wangu nao wamechukua wanalipa kidogo kidogo.
Kuhusu mfanyakazi kua katika kampuni mbili tofauti nahis huyu analipwa pale akileta mteja, kuna kijana mmoja alipeleka wateja watano katika kampuni akapewa kiwanja bure so nahis hawa wafanyakazi wanakua kama madalali.
Kweli kbs Kaka..jiji liko dormant snJiji la Dar kwa muda mrefu linaongozwa na watu wasiofaa kuongoza Jiji kama hili.
Hili Jiji lingekuwa tishio kwa majiji makubwa ya ukanda huu.
Hivi wameanza kuweka lami kutoka pale cheka kwenda Kimbiji?Nina site yangu Puna Ila naogopa kwenda Aisee.Aisee nadhani ni kama 80km kutoka ferry.
Sasa si vitakuwa ni Rufiji huko au Ikwiriri.Kilometa 50 kutoka ferry