Viwanja vya Pembamnazi-Kigamboni vimetelekezwa

Viwanja vya Pembamnazi-Kigamboni vimetelekezwa

Ni mbali, na barabara kuna kipande sio nzuri sana. Kule hamna foleni. Kuna barababa upande mwingine imechongwa yenyewe hutumii lisaa, hatukupita hiyo shortcut kwasababu kulikua na wa kuwachukua njiani
Napenda kutalii sn,naweza kufunga safari kwenda mahali nisipopajua ili kwenda kurefresh mind tu

Siku moja nikapanga kwenda kutembelea buyuni,nasikia kuna beach Kali na samaki,and of course nilienda kuangalia km pananifaa Kwa makazi.Badi rafiki yangu kila nikitembea naona sifiki,hapo nishakata km dakika 50.nikafika sehemu nikauliza hapa panaitwaje nikaambiwa hapa kimbiji,huko unakoenda buyuni bado inabidi tena ukanyage mafuta,nikasema hapana Kwa kweli naishia hapa.Nikapiga lunch kimbiji Nikarudi🤣
Ila kimbiji kuna beach Kali sn,lkn ni kijijini mno,baadae utakuja kuwa mji mzuri sn
 
Kabisa mkuu, mama yangu alishawahi kununua kiwanja, baada ya mwaka mmoja aliuza mara kumi yake. Watu hua wananishangaza sana eti kwanini umenunua kiwanja mbali, sasa nikanunue mikocheni au Mwenge? ukitaka kiwanja mjini inabidi ujipange kwelikweli, ngoja mimi ninunue hivi vya nje ya mj baada ya miaka mitano nauza kiwanja kimoja kinajenga nyumba. Kikubwa hua naangalia gari ifike hadi site, umeme upo na pia kiwe kimepimwa.
True
 
Epukeni matapeli Haswa huko maeneo ya buyuni kuna shamba kubwa ambalo lina kesi tokea miaka ya 2000 hadi hii Leo.
Yaani kuna vigagula wa utapeli WA ardhi huko ogopa,
Mwenye masikio asikie, huko maeneo yamejaa migogoro!
Mmoja anazungusha ukuta mwingine anamwaga mchanga mwingine anamwaga kokoto,
Mwingine ananyanyua nyumba,

Huko mpaka Kimbiji, hizo serikali za mtaa/vijiji ni gelesha tupu! Njaa
 
Ni maeneo gani mkuu? Naomba mfano uwe kuanzia pale kituo cha panton

Kutoka pale pantoni ni mbali mkuu!
Kutoka feri pale unaenda na hii njia ya mji mwema.
Ukifika mji mwema unaacha njia ya kwenda kibada unaenda na njia ya cheka huku buyuni.
 
Nilikuwa huko juzi, kiwanja kidogo cha kutosha kujenga nyumba unapata kwa laki tatu, 300k.

Tena ukitaka unalipa kwa awamu mbili.
Halafu 2035/40 atatokea mtu hapa Dar tayari ana mvi kichwani aliisoma hii post leo ila bado atakuwa analalamika kunyanyaswa na wenye nyumba anazopanga.

Vijana akili zituamke tuendako hali inazidi kuwa mbaya.
 
Kutoka pale pantoni ni mbali mkuu!
Kutoka feri pale unaenda na hii njia ya mji mwema.
Ukifika mji mwema unaacha njia ya kwenda kibada unaenda na njia ya cheka huku buyuni.
Ok. Asante mkuu
 
Kumbe ni mbali sn,nilipokjwa nalisikia Hilo jina nikajua ni hapo Tu karibu na mwembe mdogo
Kilometa 50 kutoka ferry. Serikali imelitelekeza eneo hilo. Wizara ya ardhi iliuza viwanja huko Pembamnazi Block 1 na Block 2
 
Hivi kutoka Ferry mpaka Mwasonga kuna umbali gani?! Naona kuna viwanja vinauzwa huko nataka nichukue kimoja
 
Sijakuelewa mkuu, kama umemaanisha umbali mi nimenunua tuu kwaajili ya badae. Nina program ya kununua viwanja vingi, baada ya miaka mitatu patakua bei sana
Mkuu unanunuaje? Kwa kutumia real estate companies au kwa wanaouza individually? Na huko mbele...(baadae) una mpango Wa kuviuza au kuviendeleza?
 
Napenda kutalii sn,naweza kufunga safari kwenda mahali nisipopajua ili kwenda kurefresh mind tu

Siku moja nikapanga kwenda kutembelea buyuni,nasikia kuna beach Kali na samaki,and of course nilienda kuangalia km pananifaa Kwa makazi.Badi rafiki yangu kila nikitembea naona sifiki,hapo nishakata km dakika 50.nikafika sehemu nikauliza hapa panaitwaje nikaambiwa hapa kimbiji,huko unakoenda buyuni bado inabidi tena ukanyage mafuta,nikasema hapana Kwa kweli naishia hapa.Nikapiga lunch kimbiji Nikarudi[emoji1787]
Ila kimbiji kuna beach Kali sn,lkn ni kijijini mno,baadae utakuja kuwa mji mzuri sn
[emoji23]
 
Natumia real estates zinazoaminika na pia nanunua vile vinavyouzwaga na manispaa au jiji, kwa baadae vingine nitauza na vingine nitaendeleza itadepend na jinsi eneo litakavyokua wakati huo
Kuna sehemu manispaa au Jiji wanauza hapo dsm kwa sasahivi? Na hizo companies zinazoaminika kwa kuuza ni kama zipi kwa sasa mkuu? Maana nimefuatilia kiasi nikashangaa kwamba baadhi ya maeneo yanauzwa na companies tofauti tofauti, nikaogopa. Pia, mfanyakazi kusema anafanya kazi na more than one real estate company imenishitua aisee...! Msaada wako tafadhali
 
Buyuni lami ikifika patakua karibu sana na feri, sasahivi kutoka buyuni had feri ni saa moja na dakika kumi hivi
Kumbe DSM ni kubwa sn..kuna sehemu inachukua saa moja naa na hapo hkn foleni

Kwa nn miaka yote hii hawapeleki lami buyuni?
 
Back
Top Bottom