Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,215
- 29,388
Napenda kutalii sn,naweza kufunga safari kwenda mahali nisipopajua ili kwenda kurefresh mind tuNi mbali, na barabara kuna kipande sio nzuri sana. Kule hamna foleni. Kuna barababa upande mwingine imechongwa yenyewe hutumii lisaa, hatukupita hiyo shortcut kwasababu kulikua na wa kuwachukua njiani
Siku moja nikapanga kwenda kutembelea buyuni,nasikia kuna beach Kali na samaki,and of course nilienda kuangalia km pananifaa Kwa makazi.Badi rafiki yangu kila nikitembea naona sifiki,hapo nishakata km dakika 50.nikafika sehemu nikauliza hapa panaitwaje nikaambiwa hapa kimbiji,huko unakoenda buyuni bado inabidi tena ukanyage mafuta,nikasema hapana Kwa kweli naishia hapa.Nikapiga lunch kimbiji Nikarudi🤣
Ila kimbiji kuna beach Kali sn,lkn ni kijijini mno,baadae utakuja kuwa mji mzuri sn