jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,128
- 8,644
kina ukubwa gani mkuu500+, hii bei hapana, hivi vimepimwa, hapa nataka nifanye mpango wa hati. Hii bei hapana
kina ukubwa gani mkuu500+, hii bei hapana, hivi vimepimwa, hapa nataka nifanye mpango wa hati. Hii bei hapana
Sijakuelewa mkuu, kama umemaanisha umbali mi nimenunua tuu kwaajili ya badae. Nina program ya kununua viwanja vingi, baada ya miaka mitatu patakua bei sanaWafikirie watoto wako, siyo wewe.
Sisi vyetu havina mgogoro, vimepimwa halafu wameshirikiana na serikali za kijiji, manispaa na kila eneoEpukeni matapeli Haswa huko maeneo ya buyuni kuna shamba kubwa ambalo lina kesi tokea miaka ya 2000 hadi hii Leo.
20 kwa 28, uhakika mpaka nikifika nyumbani nikiangalia mkataba wa mauzianokina ukubwa gani mkuu
Nilimaanisha kuwa usijali umbali.Sijakuelewa mkuu, kama umemaanisha umbali mi nimenunua tuu kwaajili ya badae. Nina program ya kununua viwanja vingi, baada ya miaka mitatu patakua bei sana
Mimi nilishapoteza kiwanja huko Bunju miaka imepita, toka hapo nimekua makini sana na kununua viwanja, sinunui kiwanja bila kuconfirm ngazi zote wala siwezi kununua kiwanja ambacho hakijapimwaEpukeni matapeli Haswa huko maeneo ya buyuni kuna shamba kubwa ambalo lina kesi tokea miaka ya 2000 hadi hii Leo.
ukifika bas ntumie dm tufanye biashara20 kwa 28, uhakika mpaka nikifika nyumbani nikiangalia mkataba wa mauziano
hivi ukosawa kweli ww!!Nilikuwa huko juzi, kiwanja kidogo cha kutosha kujenga nyumba unapata kwa laki tatu, 300k.
Tena ukitaka unalipa kwa awamu mbili.
Sisi vyetu havina mgogoro, vimepimwa halafu wameshirikiana na serikali za kijiji, manispaa na kila eneo
Napenda kutalii sn,naweza kufunga safari kwenda mahali nisipopajua ili kwenda kurefresh mind tuNi mbali, na barabara kuna kipande sio nzuri sana. Kule hamna foleni. Kuna barababa upande mwingine imechongwa yenyewe hutumii lisaa, hatukupita hiyo shortcut kwasababu kulikua na wa kuwachukua njiani
TrueKabisa mkuu, mama yangu alishawahi kununua kiwanja, baada ya mwaka mmoja aliuza mara kumi yake. Watu hua wananishangaza sana eti kwanini umenunua kiwanja mbali, sasa nikanunue mikocheni au Mwenge? ukitaka kiwanja mjini inabidi ujipange kwelikweli, ngoja mimi ninunue hivi vya nje ya mj baada ya miaka mitano nauza kiwanja kimoja kinajenga nyumba. Kikubwa hua naangalia gari ifike hadi site, umeme upo na pia kiwe kimepimwa.
Yaani kuna vigagula wa utapeli WA ardhi huko ogopa,Epukeni matapeli Haswa huko maeneo ya buyuni kuna shamba kubwa ambalo lina kesi tokea miaka ya 2000 hadi hii Leo.
Ni maeneo gani mkuu? Naomba mfano uwe kuanzia pale kituo cha panton
Halafu 2035/40 atatokea mtu hapa Dar tayari ana mvi kichwani aliisoma hii post leo ila bado atakuwa analalamika kunyanyaswa na wenye nyumba anazopanga.Nilikuwa huko juzi, kiwanja kidogo cha kutosha kujenga nyumba unapata kwa laki tatu, 300k.
Tena ukitaka unalipa kwa awamu mbili.
Hapo no traffic jam..safari ya zaidi ya saa moja Dar es salaam si mchezo,ni mbali sn
Ok. Asante mkuuKutoka pale pantoni ni mbali mkuu!
Kutoka feri pale unaenda na hii njia ya mji mwema.
Ukifika mji mwema unaacha njia ya kwenda kibada unaenda na njia ya cheka huku buyuni.
Yah ni kweli kbsMjini hakuna mbali kama uwezo mtu anao anunue akae nacho,wapo watu walinunua viwanja Kibaha huko early 2005 leo nao wapo mjini.