CHOLEMU investment sijawahi kununua kwao ila ni wapo vizuri sana wafatilie, REJAA REAL ESTATES nanunua kwao, pia wapo vizuri sanaNaomba nitumie hapa/au inbox majina ya hizo companies mkuu kama hutajali. Naogopa mno ninaposikia kwamba maeneo mengi kigamboni Yana migogori.