Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,221
- 28,666
You are welcomeBaada ya dakika 5 nitajongea hiyo meza mkuu
You are welcomeBaada ya dakika 5 nitajongea hiyo meza mkuu
Bado sana kwani uko pande zipi?Habarini wadau,
Hebu tupeane maujanja ya viwanja vya kuburudika baada kazi ama wikiendi kama hizi. Nimekaa hapa kila kiwanja nahisi nimeshapita. Wazee wa Jiji la Makonda hebu tupeane maujuzi
Dar kubwa ndugu yangu ina wilaya tatuNiko Dar Mkuu
Hapana siku hizi upepo umebadilika... Mambo iko tabataRaha za Dar inajulikana zinapatikana haswaa Kinondoni
Wilaya tanoDar kubwa ndugu yangu ina wilaya tatu
Tabata kuna kiwanja gani cha kukifungia safari?Hapana siku hizi upepo umebadilika... Mambo iko tabata