zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,018
- 3,514
Viwanja vipo kibaha kwa mfipa,karibia na chuo kipya Cha uongozi,vimebaki viwili kila kiwanja kina square meter 400.
Bei kwa kila kimoja milioni 4 na nusu.
Umbali km 1 na nusu toka morogoro road,
Panafaa kujenga hostel au kwa ajili ya makazi.
Umeme na maji vipo jirani.
Tayari Kuna walioanza ujenzi kwenye viwanja vya pembeni
Mawasiliano: 0762976169
Bei kwa kila kimoja milioni 4 na nusu.
Umbali km 1 na nusu toka morogoro road,
Panafaa kujenga hostel au kwa ajili ya makazi.
Umeme na maji vipo jirani.
Tayari Kuna walioanza ujenzi kwenye viwanja vya pembeni
Mawasiliano: 0762976169