Viwanja na Nyumba
Member
- Apr 4, 2012
- 56
- 3
Kama unatafuta kiwanja au unataka kununua nyumba, pia kama unauza kiwanja au nyumba popote Tanzania, tuma ujumbe wako kwenda 0718 - 617 522 au email: viwanjanyumba@gmail.com
Bei nzuri ya soko itazingatiwa. You are all welcome, thank you very much indeed.
Masharti yote ya usajili na leseni ya biashara kama 'Commission Agent' chini ya Wizara ya Biashara na Viwanda yamezingatiwa.
Haki ya muuzaji/mnunuzi imezingatiwa kwa mujibu wa sheria za biashara nchini Tanzania.
Pia kwa wale wanaopenda na wenye uwezo wa kuwekeza katika sekta ya madini tutawapa ushauri kwa gharama nafuu jinsi ya kuweza kumiliki maeneo yenye madini na taratibu za kupata 'Prospecting Licence' toka wizara ya Nishati na Madini. Karibuni sana wadau.
Bei nzuri ya soko itazingatiwa. You are all welcome, thank you very much indeed.
Masharti yote ya usajili na leseni ya biashara kama 'Commission Agent' chini ya Wizara ya Biashara na Viwanda yamezingatiwa.
Haki ya muuzaji/mnunuzi imezingatiwa kwa mujibu wa sheria za biashara nchini Tanzania.
Pia kwa wale wanaopenda na wenye uwezo wa kuwekeza katika sekta ya madini tutawapa ushauri kwa gharama nafuu jinsi ya kuweza kumiliki maeneo yenye madini na taratibu za kupata 'Prospecting Licence' toka wizara ya Nishati na Madini. Karibuni sana wadau.