Viwanja na Nyumba
Member
- Apr 4, 2012
- 56
- 3
- Thread starter
- #21
Mwenye kiwanja Kibada tuwasiliane kwa namba yetu hapo juu, taja ukubwa wake na bei yako. Pia anayehitaji nyumba Mbagala, iko ya 3bedrooms ambayo haijapauliwa bei ni 15M, asanteni.
Huduma hii ni nafuu sana na imezingatia kupunguza tozo ya madalali ambayo mara nyingi huwa 10% ya bei ya kiwanja au nyumba.
Commission ya 'Viwanja na Nyumba' ni 1% tu ya bei ili kuchangia gharama za uendeshaji na kupunguza mzigo kwa wateja wetu. Karibuni sana, asanteni.
Nina nyumba mbagala nzasa, imekamilika ujenzi ina vyumba 3 vya kulala,master room 1,sitting na dining,jiko na stoo,karo la choo limekamilika.Sehemu inafikika. Bei nzuri only 15 ml, piga no 0716 890 336
Shukrani mazee, nina shamba Mtwara, kijiji cha Litumbokaribu na kijiji cha kawawa, ukubwa ni ekari 18+, umbali toka mjini ni 16 Kmkaribu na inapojengwa SAUT University.
Niko Arusha nauza nyumba na kupangisha piga 0757528827
Hilo shamba lako ni 'hot cake' mkuu. Tupatie bei yako, je lina mazao ya kudumu, na kama limepimwa au lina hati ya kijiji au document yoyote kuthibitisha wewe ni mmiliki halali, asante.
Hilo shamba lako ni 'hot cake' mkuu. Tupatie bei yako, je lina mazao ya kudumu, na kama limepimwa au lina hati ya kijiji au document yoyote kuthibitisha wewe ni mmiliki halali, asante.
Shamba halikuwahi kupimwa rasmi, kwa uthibitisho lina hati ya yenye sahihi ya mnunuzi na muuzji kisha muhuri wa kijiji,
kuna mikorosho 60 inayozaa vyema ikitunzwa, miembe 8 ya kienyeji ya umri wa miaka 5 miche ya nanasi >3500.
Liko kwenye kilima ambapo kusini mashariki unaiona Mbawala chini na magharibi unaiona Luwelu kwa mbali hususan mtambo wa utafiti wa mafuta uliokuwa pale, sina hakika kama bado upo. kaskazini kama >2 km ndipo inapojengwa SAUT na ukienda mbele zaidi, Mikindani.
Hapo je?
Hapo pouwaaa, bei je?
Nina ekari 20 pale Ruvu maeneo ya Vigwaza ila shamba lenyewe liko kijiji cha Visezi around 7 km kutoka dar - chalinze highway. Hati ni makubaliano ya manunuzi iliyothibitishwa na kijiji, pia maji yamepita hadi kijijini na halina mazao kwa sasa. Bei ni 800,000/= kwa eka lakini twaweza kuelewana..
nikitaka kupimiwa viwanja 1000 mfano
inawezekana??????