NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
Kiukweli Kutofanya kazi kwa KIWANDA CHA KOKOTO NYANKALI kunani umiza moyo acheni tu!
UBUNGO PEKEEKwa mujibu wa mwenyenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ni kuwa zaidi ya viwanda vipya 3000 vimejengwa na vya zamani vimefufuliwa. Nchi hii ni kubwa inawezekana hapo hapo ulipo wilayani kwako au mkoani kwako hakuna lakini mkoa au wilaya nyingine vipo.
Hebu tupeane taarifa hapo ulipo wilayani au mkoani je kuna kiwanda kipya kimejengwa hapo? Ni kiwanda cha nini? Je kuna kilichokuwa kimekufa na sasa kimefufuliwa? Ni kiwanda cha nini? Hii itasaidia pia kupeana taarifa za ajira
Mimi hapa Kinondoni/Ubungo hakuna kiwanda kipya kilichojengwa. (Nasema mimi sijakiona kama kipo mnirekebishe) Vilivyokufa kama URAFIKI na UFI havijafufuliwa bado. Ila Ubungo kuna ujenzi wa Flyover na jengo refu la Tanesco linavunjwa
Na wewe umemjibu kishambenga sio,weka facts za viwanda ili aone aibu badala yakoAliye anzishaa huu uzi ameanzisha kishambenga sana ndo maana hata wachangiaji wanafanya ivoivo.
Mchango wangu ndo huoo.
Ha ha ha!!! Ndiyo uwezo wangu mkuu.Punguza uvivu mkuu. Mfuko mmoja mwezi?
Huko nasikia Lipumba anacherehani 4 sawa na kiwanda kimoja.Haa haa haa no comment,mi niko Tabora naona mauza uza tuu wadau.this is Tanzania.
Hayo matamasha ya uzalendo yanafanyika ili kulisha watu ujinga wa kukubali huo uongo wa mchana kweupe. Viwanda 3000 halafu hata picha hakuna. Hizo nyumba zilizovunjwa picha zake zimejaza server, inakuwaje hivyo viwanda 3000 picha zisionekane? Viwanda vipya kweli vipo ila havizidi 50 na vingejengwa tu hata kama kusingekuwa na hiyo ajenda fake ya viwanda.
Umekisahau kile kilchopakana na urafiki fishnet sasa hivi ubungo parkKwa mujibu wa mwenyenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ni kuwa zaidi ya viwanda vipya 3000 vimejengwa na vya zamani vimefufuliwa. Nchi hii ni kubwa inawezekana hapo hapo ulipo wilayani kwako au mkoani kwako hakuna lakini mkoa au wilaya nyingine vipo.
Hebu tupeane taarifa hapo ulipo wilayani au mkoani je kuna kiwanda kipya kimejengwa hapo? Ni kiwanda cha nini? Je kuna kilichokuwa kimekufa na sasa kimefufuliwa? Ni kiwanda cha nini? Hii itasaidia pia kupeana taarifa za ajira
Mimi hapa Kinondoni/Ubungo hakuna kiwanda kipya kilichojengwa. (Nasema mimi sijakiona kama kipo mnirekebishe) Vilivyokufa kama URAFIKI na UFI havijafufuliwa bado. Ila Ubungo kuna ujenzi wa Flyover na jengo refu la Tanesco linavunjwa
bagamoyo kuna viwanda vingi
1. vegeta podrvka- cha kutengeneza spices( viungo vya kupikia)
2. kamal estate ( kuna viwanda vingi ndani yake)
3. kiwanda cha betri
4. kiwanda cha bati
5. kiwanda cha nondo
6. kiwanda cha ngozi
na vingine vingi vipo ni kutembea tu utaviona.
pori lile nadhani alivizia bandari ya bagamoyo italeta viwanda.Kamal Steel umeitembelea?!