tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,123
Rais katika ziara yake anasema tayari ndani ya awamu yake vimejengwa viwanda vikubwa 83 na vidogo 240. Naomba kujulishwa na wahusika majina ya hivyo viwanda. Maana isije ikawa viwanda vinavyoongelewa ni maduka ya watu tunaambiwa viwanda.
Jamani viwanda vikubwa 83 sio mchezo!!
Au mimi ndio sielewi maana ya viwanda vikubwa na vidogo?? Basi sio mbaya nieleweshwe viwanda vikubwa ni aina gani na vidogo ni aina gani . Isije ikawa viwanda vikubwa ni mashine za kufyatua tofari na viwanda vidogo ni ndoo na karatasi za kufungia maji ya kandoro!! Lakn kama viwanda vikubwa ni kama kiwanda cha dangote au cha bakharesa cha joice alichofungua rais mwaka jana kule mkoa wa pwani hakiwez kujengwa ndani ya mwaka mmoja.
Labda hivyo navyo tupewe majina yake napendekeza tuviite viwanda vya maajabu!!
Naomba nijue majina ya hivyo viwanda na pia nipewe tofauti ya viwanda vikubwa na vidogo
. Msikilize rais hapa chini
Jamani viwanda vikubwa 83 sio mchezo!!
Au mimi ndio sielewi maana ya viwanda vikubwa na vidogo?? Basi sio mbaya nieleweshwe viwanda vikubwa ni aina gani na vidogo ni aina gani . Isije ikawa viwanda vikubwa ni mashine za kufyatua tofari na viwanda vidogo ni ndoo na karatasi za kufungia maji ya kandoro!! Lakn kama viwanda vikubwa ni kama kiwanda cha dangote au cha bakharesa cha joice alichofungua rais mwaka jana kule mkoa wa pwani hakiwez kujengwa ndani ya mwaka mmoja.
Labda hivyo navyo tupewe majina yake napendekeza tuviite viwanda vya maajabu!!
Naomba nijue majina ya hivyo viwanda na pia nipewe tofauti ya viwanda vikubwa na vidogo
. Msikilize rais hapa chini