Hivi kwa akili yako huru unawezaje kumwamini kiongozi atokanaye na ccm?!Tatzo kubwa ulilo nalo ni UGONJWA ambao unakukabili kwa sasa....Unaoitwa UKOVI.....(ukosefu wa viroba)....Hivi kwa akili yako kabsa kati ya wewe na Magufuli nani mwenye full information na nchi hii??....Yeye si mpuuzi kusema hivyo
Hata hapa Dar tu, kupata Viwanda hasa kwa level ya Kiwanda ukipata list yote 83 bado ni ngumu sana,ndo iwe huko Pwani. Viwanda vipo lakini kwa hadhi ya Kibongobongo, kwa wenzetu ni sawa na Light Industries tu(SIDO affiliates)Sina list lkn haimaanishi havipo siamini kama atakuwa amedanganya
Unafikiri viwanda 83 ni mchezo? Yaani kiwanda kama cha Dangote, Tanga Cement, Twiga, Mbeya, TBL, Serengeti, Bakhresa, Sita Steel, AIM Steel, vyenye ukubwa wa hadhi ya kuitwa Kiwanda, Kwa nchi nzima hata kufikisha 83 ni ngumu, siyo kusini tu, nchi nzima bado ni ngumu.pamoja na kuhangaika kote.... umetaja viwanda 7 tena nchi nzima ambavyo vyote hivi vimeanza kujengwa yangu enzi za JK .... hivi kiwanda kinajengwa kwa mwaka mmoja na kuanza uzalishaji? big joke
Hii ni nchi ya Kusadikika na Kufikirika na Raia wake wanaitwa Wagagagigikoko!!!!Viwanda hivo anavyosemea sijui ni viwanda vipi maana mie sijaona hata kimoja
Olam hawako Tanzania miaka mingi sasa na wazungu wote wa mafuta na gesi wamefunga operation zao hawako Tanzania kwa sasa.. Umeme Mtwara na Lindi ni wa mgao kwa sasa, labda hizo Megawatt 100 wanazotupiga sound kwamba wameenda kuweka jiwe la msingiMtwara nakumbuka kuna Dangote, Mtwara Cement,Olam na Kiwanda cha Kuchakata Chemikali za Kwenye deep sea kwa makampuni ya Utafiti wa Mafuta na Gesi. Ila vyote hivyo nadahani ni tangu Awam ya 3 na 4.
Je kinu cha kule Msimbati/Kilambo nacho ni Kiwanda, maana kimuundo kina hadhi ya kuitwa Kiwanda.
hahahahahahahaha nimecheka sana mkuu... AsanteMbona viwanda vipo vingi sana.
![]()
Rais katika ziara yake anasema tayari ndani ya awamu yake vimejengwa viwanda vikubwa 83 na vidogo 240. Naomba kujulishwa na wahusika majina ya hivyo viwanda. Maana isije ikawa viwanda vinavyoongelewa ni maduka ya watu tunaambiwa viwanda.
Jamani viwanda vikubwa 83 sio mchezo!!
Au mimi ndio sielewi maana ya viwanda vikubwa na vidogo?? Basi sio mbaya nieleweshwe viwanda vikubwa ni aina gani na vidogo ni aina gani . Isije ikawa viwanda vikubwa ni mashine za kufyatua tofari na viwanda vidogo ni ndoo na karatasi za kufungia maji ya kandoro!! Lakn kama viwanda vikubwa ni kama kiwanda cha dangote au cha bakharesa cha joice alichofungua rais mwaka jana kule mkoa wa pwani hakiwez kujengwa ndani ya mwaka mmoja.
Labda hivyo navyo tupewe majina yake napendekeza tuviite viwanda vya maajabu!!
Naomba nijue majina ya hivyo viwanda na pia nipewe tofauti ya viwanda vikubwa na vidogo
. Msikilize rais hapa chini
Msamehe bure mkuu huyu atakuwa ni ndugu wa damu wa Mengele S. Tatizo lao kubwa ni kuliendekeza tumbo.acha kujitoa ufahamu hivi unafikiri kwa sifa za huyo mtu wako vingejengwa hivyo viwanda vikubwa visingeonekana,Hebu nitajie kumi tu unavyovijua vinazalisha bidhaa gani
Jitambulishe kwa ID yako halisi nikutajie hivyo viwanda, ili ujipeleke jela miaka 10 kama ulivyopania.I challenge him ataje viwanda kumi tu vilivyopo kusini na ambavyo vinazalisha na vimeajiri.. Akitaja niko tayari kwenda jela miaka 10.
Naitwa Marko Mathias... Aya taja sasaJitambulishe kwa ID yako halisi nikutajie hivyo viwanda, ili ujipeleke jela miaka 10 kama ulivyopania.
Majigambo ya kipuuzi nyuma ya keyboard na ID fake.
Karibuvmirembe work zikovwaziTatzo kubwa ulilo nalo ni UGONJWA ambao unakukabili kwa sasa....Unaoitwa UKOVI.....(ukosefu wa viroba)....Hivi kwa akili yako kabsa kati ya wewe na Magufuli nani mwenye full information na nchi hii??....Yeye si mpuuzi kusema hivyo
Rais katika ziara yake anasema tayari ndani ya awamu yake vimejengwa viwanda vikubwa 83 na vidogo 240. Naomba kujulishwa na wahusika majina ya hivyo viwanda. Maana isije ikawa viwanda vinavyoongelewa ni maduka ya watu tunaambiwa viwanda.
Jamani viwanda vikubwa 83 sio mchezo!!
Au mimi ndio sielewi maana ya viwanda vikubwa na vidogo?? Basi sio mbaya nieleweshwe viwanda vikubwa ni aina gani na vidogo ni aina gani . Isije ikawa viwanda vikubwa ni mashine za kufyatua tofari na viwanda vidogo ni ndoo na karatasi za kufungia maji ya kandoro!! Lakn kama viwanda vikubwa ni kama kiwanda cha dangote au cha bakharesa cha joice alichofungua rais mwaka jana kule mkoa wa pwani hakiwez kujengwa ndani ya mwaka mmoja.
Labda hivyo navyo tupewe majina yake napendekeza tuviite viwanda vya maajabu!!
Naomba nijue majina ya hivyo viwanda na pia nipewe tofauti ya viwanda vikubwa na vidogo
. Msikilize rais hapa chini
Mh!Naitwa Marko Mathias... Aya taja sasa
Rais katika ziara yake anasema tayari ndani ya awamu yake vimejengwa viwanda vikubwa 83 na vidogo 240. Naomba kujulishwa na wahusika majina ya hivyo viwanda. Maana isije ikawa viwanda vinavyoongelewa ni maduka ya watu tunaambiwa viwanda.
Jamani viwanda vikubwa 83 sio mchezo!!
Au mimi ndio sielewi maana ya viwanda vikubwa na vidogo?? Basi sio mbaya nieleweshwe viwanda vikubwa ni aina gani na vidogo ni aina gani . Isije ikawa viwanda vikubwa ni mashine za kufyatua tofari na viwanda vidogo ni ndoo na karatasi za kufungia maji ya kandoro!! Lakn kama viwanda vikubwa ni kama kiwanda cha dangote au cha bakharesa cha joice alichofungua rais mwaka jana kule mkoa wa pwani hakiwez kujengwa ndani ya mwaka mmoja.
Labda hivyo navyo tupewe majina yake napendekeza tuviite viwanda vya maajabu!!
Naomba nijue majina ya hivyo viwanda na pia nipewe tofauti ya viwanda vikubwa na vidogo
. Msikilize rais hapa chini