Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
Ulaya walikuwa na viwanda vingi kumbuka industrialisation ilianzia Europe vilikufa baada ya kuingiza huruma za kibinadamu
Leo hii Europe hawana viwanda bali wamebaki na sheria zao nzuri sana
Viwanda vinahitaji maamuzi ambayo hutakiwi kutumia huruma za kibinadamu mfano
Wote tunafahamu changamoto kubwa sana inayoikabili nchi yetu ni kuwa na uzalishaji mdogo sana wa ndani yaani bidhaa nyingi sana zinatoka nje ya nchi na pia uwepo wa regulations nyingi sana ambao ni usumbufu na kero kwa wawekezaji wengi wa viwanda
Zifuatazo ni kodi na tozo viwanda vitakavyolipa vikifunguliwa hapa Tanzania
A)- Mwekezaji atalipa baada ya kupita miaka miwili alipoanza uzalishaji
www.jamiiforums.com
- Kuhisi wenye-viwanda wanafaidi sana na kuanza kuwapandisha kodi maradufu na kuongeza kodi nyingi
- Kuweka minimum wages
- Kupandisha gharama za umeme na gesi asilia kwa kudhani viwanda wanafaidi sana
Leo hii Europe hawana viwanda bali wamebaki na sheria zao nzuri sana
Viwanda vinahitaji maamuzi ambayo hutakiwi kutumia huruma za kibinadamu mfano
- Kodi zinatakiwa kuwa ndogo sana
- Hakutakiwi kuwe na minimum wages, kwenye viwanda kipaji cha mfanyakazi ndo kitakachomsaidia mshahara kuongezeka na sio kulazimisha alipwe kiwango flani
- Hutakiwi kuwa na regulations kali sana za kulinda mazingira
- Kesi zina-husu viwanda na serikali zinatakiwa ziamuliwe nchi yeyote ile atakayoamua mwenye viwanda sio lazima ndani ya nchi
Wote tunafahamu changamoto kubwa sana inayoikabili nchi yetu ni kuwa na uzalishaji mdogo sana wa ndani yaani bidhaa nyingi sana zinatoka nje ya nchi na pia uwepo wa regulations nyingi sana ambao ni usumbufu na kero kwa wawekezaji wengi wa viwanda
Zifuatazo ni kodi na tozo viwanda vitakavyolipa vikifunguliwa hapa Tanzania
A)- Mwekezaji atalipa baada ya kupita miaka miwili alipoanza uzalishaji
- Corporate tax 6%
- Vat 4%
- Imported raw materials 5%
- Unit moja ya umeme sh 10
- Domestic Employees income tax 5%
- Foreign Employees income tax 8%
- Manufactured product sold to international market 3%
- Manufactured product sold to domestic 2%
Support hustle zangu mimi Rais mtarajiwa wa Tanzania
Maandalizi na mchakato wa kuwa Rais wa Tanzania yanaendelea at the same time harakati za kutafuta rizki zinaendelea in-short maisha lazima yaendelee JAMANI NAOMBA MNIUNGISHE Historia nzuri ni ile inayoandikwa in an ugly way, and awkward way 👇👇👇👇👇👇👇👇 Kwenye historia ya Tanzania ntakumbukwa kuwa...