WAISLAMU NA MAJINI YA KIARABU 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote au faru 😂 Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Subiri waamini waje kudungwa sindano za ufahamu wamwage helaView attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote au faru 😂 Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Kuna dini inaamini majini ni sehemu ya barakaJengo limejengwa na majini afu et ukiomba dua kwa Mungu unasikilizwa kwaiyo majini yanashirikiana na Mungu
Labda anamaanisha Yanga ya GSM .View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill siment sijui yametumia ya dangote au faru Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Yap upo kweli! Majini ni wale Malaika Ambao Mungu aliwatimua Mbinguni na kuwatupa Motoni(Shetani na Malaika zake- Mashetani) Ila wanaswali kama waislam.Sheikh Kipozeo nishawahi sikiza moja ya mawaidha yake akielezea uwepo wa msikiti wa majinn Saudia...
UNAWEZA KUTHIBITISHA KUWA MUNGU ANASHIRIKIANA NA BINADAMUJengo limejengwa na majini afu et ukiomba dua kwa Mungu unasikilizwa kwaiyo majini yanashirikiana na Mungu