Viumbe hawa waliumbwa na Mungu?

Viumbe hawa waliumbwa na Mungu?

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,633
Reaction score
7,021
Bundi ni ndege anayeonekana kama mwenye gundu na anahusishwa na mambo ya nguvu za giza.Akijitokeza mchana ndege wangine humshambulia sana!Hivi huyu naye aliumbwa na Mungu?na kama ni kweli kwa nini achukiwe hivi na viumbe wengine?je huenda kuna binadamu pia hawakuja duniani kwa mapenzi ya Mungu?kwani vyovyote wafanyavyo wanaonekana na gundu tu mf watu weusi wengi!Nimejiuliza nikafikia kuamua kwamba huenda kuna viumbe kama huyo Mungu hakuviumba

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Post yako inautata, umetolea mfano watu weusi? Au ulikua na maana gani hapo?
 
Hv kule Mirembe cku hizi ulinzi wao ukoje? Mbona wanashindwa kuwadhiti hawa watu hadi wanafika huku?
 
Hv kule Mirembe cku hizi ulinzi wao ukoje? Mbona wanashindwa kuwadhiti hawa watu hadi wanafika huku?

Asante mkuu niombee Mungu tu nipone na sio nidhibitiwe

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Anashambuliwa kwa nia ya kufukuzwa kwasababu ni ndege anayekula nyama.
 
Bundi ni kiumbe mzuri tena Wa kawaida!

Watu tu ndo wameamua kumtenga!
 
Bundi ni ndege anayeonekana kama mwenye gundu na anahusishwa na mambo ya nguvu za giza.Akijitokeza mchana ndege wangine humshambulia sana!Hivi huyu naye aliumbwa na Mungu?na kama ni kweli kwa nini achukiwe hivi na viumbe wengine?je huenda kuna binadamu pia hawakuja duniani kwa mapenzi ya Mungu?kwani vyovyote wafanyavyo wanaonekana na gundu tu mf watu weusi wengi!Nimejiuliza nikafikia kuamua kwamba huenda kuna viumbe kama huyo Mungu hakuviumba

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Ni ndege mzuri tu, wanaadam ndo wanamchukulia vibaya kutokana na mazingira ya kuonekana kwake usiku, ila hana tatizo lolote kwani kuna jamaa yangu aliwahi kumfuga miaka ya nyuma.
 
kUNA MAMBO UKIYATAFAKARI SANA UTAISHIA KUKUFURU SO PLZ MENGINE YAACHE KAMA YALIVYO NDUGU AU MWOMBE MUNGU AKUPE MAARIFA YA KUTAMBUA MAJIBU YA MASWALI YAKO MAGUMU NAYE HANA HIYANA KAMA SISI BINADAMU ATAKUJUZA NAWE UTAWAAMBIA WENZAKO PAMOJA NAMI
 
fikiri ni kwa namna gani imani potofu,hofu wanavyokumbananavyo viumbe waliopewa mamlaka kamili,Ni wazi binadamu amepotoka Mbingu zinamzomea hana pa kujificha,angalia unyanyasaji wanaofanyiwa Albino,watu weusi sasa hata ndege mi nadhani mazingira yao yanaruhusu hali hii na wala si ukaburu kama unavyodhani.Ni vyema tukaacha kuchokoza mambo amboyo matokeo yake ni umwagaji damu,tuwe makini na wasio tutakia mema mimi ni mweusi we mweupe sote ni wanadamu(dini,rangi isiwe kigezo)katiba mpya itambue hili
 
Mkuu bila shaka wewe utakua day scholar wa milembe, hongera kwa kupewa nafasi ya kipekee, itumie ipasavyo usije ukajutia baadae
 
Hapana watu weusi mmh sasa usitumie wingi wewe mavi kama ni weusi mbona mmnaongozwa hata na viongozi we usi mijitu mingine bana kwanza sijui mna waza nini wakati uwe mweupe mzungu mweusi wote ni sawa tu wanapata na kukosa pia sasa haya mambo yakuja kusemwa wana chukiwa yanatoka wapi au kisa hana hela embu atoke mtuu mweusi kama giza na awe bilionea uone kama kuna ataye mchukia so na umasikini nao huchangia we kupata mawazo mgando kama hayo siamini nawe mtu wa jf unaweza uka wazaa huo upuu uzi kama huu so mpaka umefikia hapo kimawazo yako ndo jibu unalopata bundi na watu weusi hawaja umbwa na mungu? Aaahaa huna maana weye.
 
Huhitaji nguvu kubwa kumjua mtanganyika na mzanzibar
 
Bora bundi kuliko binadamu... Kina wanadamu wana roho chafu sijapata kuona unaweza kufikiri hawakuumbwa na Mungu
 
Bundi ni ndege anayeonekana kama mwenye gundu na anahusishwa na mambo ya nguvu za giza.Akijitokeza mchana ndege wangine humshambulia sana!Hivi huyu naye aliumbwa na Mungu?na kama ni kweli kwa nini achukiwe hivi na viumbe wengine?je huenda kuna binadamu pia hawakuja duniani kwa mapenzi ya Mungu?kwani vyovyote wafanyavyo wanaonekana na gundu tu mf watu weusi wengi!Nimejiuliza nikafikia kuamua kwamba huenda kuna viumbe kama huyo Mungu hakuviumba

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Inawezekana.

Watu wa CCM nina hakika hakuna hata mmoja alieumbwa na Mungu!!
 
kUNA MAMBO UKIYATAFAKARI SANA UTAISHIA KUKUFURU SO PLZ MENGINE YAACHE KAMA YALIVYO NDUGU AU MWOMBE MUNGU AKUPE MAARIFA YA KUTAMBUA MAJIBU YA MASWALI YAKO MAGUMU NAYE HANA HIYANA KAMA SISI BINADAMU ATAKUJUZA NAWE UTAWAAMBIA WENZAKO PAMOJA NAMI

Kudos to you.
 
Yaani wewe kijijini kwenu kumchukia bundi ndio unadhani watu wengi wanamchukia?? Mbona wapo wengi tu hawamchukii bundi.
 
Back
Top Bottom