Viumbe hawa waliumbwa na Mungu?

Viumbe hawa waliumbwa na Mungu?

Bundi ni ndege anayeonekana kama mwenye gundu na anahusishwa na mambo ya nguvu za giza.Akijitokeza mchana ndege wangine humshambulia sana!Hivi huyu naye aliumbwa na Mungu?na kama ni kweli kwa nini achukiwe hivi na viumbe wengine?je huenda kuna binadamu pia hawakuja duniani kwa mapenzi ya Mungu?kwani vyovyote wafanyavyo wanaonekana na gundu tu mf watu weusi wengi!Nimejiuliza nikafikia kuamua kwamba huenda kuna viumbe kama huyo Mungu hakuviumba

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums



Vyote viliumbwa kwa amri ya Mungu.Lakini shetani naye ni mjanja sana hivyo vingine alivigeuza kwa ajili ya kufanyia maasi.Mfano bunduki ilitengenezwa kwa ajili ya kuwalinda watu wema lakini inatumiwa sa katika uhalifu na kuwaangaiza
 
Ni imani tu tulizokuwa nazo juu ya bundi,nilikuwa Serbia nilishangaa hata kule bundi huonekana ni ndege aletaye balaa/nuksani.
 
Ni ndege mzuri tu, wanaadam ndo wanamchukulia vibaya kutokana na mazingira ya kuonekana kwake usiku, ila hana tatizo lolote kwani kuna jamaa yangu aliwahi kumfuga miaka ya nyuma.

Bundi ni ndege mzuri sana ukimlea vizuri wala hana madhara yoyote mi ninae alianguka toka juu ya mti akiwa mdogo lakini washirikina nasikia wananiogopa sana. Mbona nchi zingine wanafuga na kuuzwa ila ni hili continent letu
 
Nakumbuka niliangalia discovery channel wakati sir David Attenborough alivyohadithia alipokuwa Madagascar 1948 alipoambiwa na wa madagascar kuwa kinyonga akikuangalia mtapata msiba hivyo aliaamua kumfunga kwenye steering ya land rover kama mlinzi, wakati sisi hapa kinyonga ni mmoja wa viumbe
 
Bundi ni kiumbe wa Mungu.Ni ndege mwenye tabia ya kuruka na kutafuta chakula usiku kutokana na maumbile ya macho yake ambayo huona zaidi usiku kuliko mchana.

Tendo lolote likifanyika kinyume na kawaida. , mazowea au taratibu limeonekana kama nuksi machoni mwa mwanadamu kv;

1 Bundi kuonekana mchana
2 Kuona paka wakijamiiana live
3 Kuona wazazi wako wakijamiiana
4 watu wa jinsia moja kujamiiana kama wafanyavyo mashoga au kulawitiana nk.
Kosa la kimaadili laweza kuwa dhambi ila halimuondolei Mungu hadhi yake ya uumbaji.
 
Mi mwenyewe nimefuga bundi. Mayai yao ni matamu sana na hata nyama yao ni nzuri kuliko ya bata, tatizo ni wagumu kuwachinja. Ukianza tu yale maho yao makubwa huanza kutiririsha machozi

hahaha bujibuji cha utani wachawi watakutafuta ohooo
 
mbona hata shetani aliumbwa na Mungu? ila majini ndo sina uhakika kama yalitengenezwa na kina hayat shekh Yahaya ama vip...
 
Mungu ni idea ya mwanadamu kama ilivyo hizo superstitions za bundi
 
Back
Top Bottom