Vituo vya mafuta katikati ya mji na makazi ya watu Dar: Bomu linalosubiri maafa makubwa

Environmental imoact assessment lazima ifanyike
Screenshot_20211006-230811.jpg
 
By the way uchawi na milipuko wapi na wapi?
Nilikuwa mfuatiliaji mzuri wa vipindi vilivyokuwa vinayotolewa na wataalam kutoka BP enzi zile ITV ndio nilijifunza hilo la umbali baada ya mdau mmoja kuuliza akitolea mfano wa vituo vya pale Fire kisha Magomeni na Mwembechai
Kuna mpango wowote wa teknolojia ya uchawi kuwekwa hadharani?

Pili temeke njia ya kwenda buza kuna duka moja nimeona wanauza pembe, tunguli, ungo, mikia ya wanyama nk ni kama parts za vifaa vya wachawi ushawahi liona ama kulisikia maama ni kama idea mpya hii
 
Nikimnukuu yule mtaalam wa BP alisema haya ninayokumbuka
1. Kituo hadi kituo umbali ni km 5
2. Kituo kinapaswa kiwe eneo lisilo na msongamano wa watu au makazi
3. Kituo kinapaswa kujengwa pembezoni mwa mwisho wa hifadhi ya barabara na si mitaani kwenye makazi ya watu
4. Kituo kiwe na miundombinu ya kufikika haraka wakati wa dharura
 
Kuna mpango wowote wa teknolojia ya uchawi kuwekwa hadharani?

Pili temeke njia ya kwenda buza kuna duka moja nimeona wanauza pembe, tunguli, ungo, mikia ya wanyama nk ni kama parts za vifaa vya wachawi ushawahi liona ama kulisikia maama ni kama idea mpya hii
Nalifahamu...wakati linazinduliwa niliwepo kama mgeni mualikwa
 
Nikimnukuu yule mtaalam wa BP alisema haya ninayokumbuka
1. Kituo hadi kituo umbali ni km 5
2. Kituo kinapaswa kiwe eneo lisilo na msongamano wa watu au makazi
3. Kituo kinapaswa kujengwa pembezoni mwa mwisho wa hifadhi ya barabara na si mitaani kwenye makazi ya watu
4. Kituo kiwe na miundombinu ya kufikika haraka wakati wa dharura
Kinachoangaliwa hapo ni kubadilisha matumizi. Ushawahi kuona mabango kuhusu mabadiliko ya matumizi toka makazi kwenda sheli ama hotel.

Nikiwa ni mmoja wa wadau wa sekta hii nasikitika sana kwa tunayoyafanya.
 
Kinachoangaliwa hapo ni kubadilisha matumizi. Ushawahi kuona mabango kuhusu mabadiliko ya matumizi toka makazi kwenda sheli ama hotel.

Nikiwa ni mmoja wa wadau wa sekta hii nasikitika sana kwa tunayoyafanya.
Fafanua tafadhali.. Umeniacha kidogo
 
Nikimnukuu yule mtaalam wa BP alisema haya ninayokumbuka
1. Kituo hadi kituo umbali ni km 5
2. Kituo kinapaswa kiwe eneo lisilo na msongamano wa watu au makazi
3. Kituo kinapaswa kujengwa pembezoni mwa mwisho wa hifadhi ya barabara na si mitaani kwenye makazi ya watu
4. Kituo kiwe na miundombinu ya kufikika haraka wakati wa dharura

Huo ndio utaratibu ila haufwati.
Juzi nilipita mitaa ya temeke kule karibia na stend ya kuelekea mikoa ya kusini. Jirani na pale kuna jamaa kanunua nyumba 2 kazibomoa anajenga petrol station eneo hilo japo ni barabarani amezungukwa na makazi ya watu pia petrol station nyingine ipo karibu na hiyo anayojenga.
Bongo hapa sheria nyingi zipo Kwenye makaratasi ila hazitekelezwi
 
Huo ndio utaratibu ila haufwati.
Juzi nilipita mitaa ya temeke kule karibia na stend ya kuelekea mikoa ya kusini. Jirani na pale kuna jamaa kanunua nyumba 2 kazibomoa anajenga petrol station eneo hilo japo ni barabarani amezungukwa na makazi ya watu pia petrol station nyingine ipo karibu na hiyo anayojenga.
Bongo hapa sheria nyingi zipo Kwenye makaratasi ila hazitekelezwi
Hebu soma hiyo ujionee maajabu
- Umbali ni meter 200
-Atakayevunja hiyo sheria HATAFUNGIWA bali atapigwa faini na kuwekewa utaratibu MGUMU....
 
Back
Top Bottom