Vituo vya mafuta katikati ya mji na makazi ya watu Dar: Bomu linalosubiri maafa makubwa

Sasa huyu nae ni nani ananifinya hapa nlipokaa anasema eti money laundering. Sasa inahusikaje hapa? Eti GTs Yani kwamba watu wanasafishia hela zao kwenye vituo vya mafuta? Aah sidhani. Ngoja nimjibu nimwambie sidhani kama ni money laundering maana wanaonunua apartments za million 300 nao tuwaweke fungu gani? Hata hao nao sio money laundering wengi ni za urithi🥱
maana wanaonunua apartments za million 300 nao tuwaweke fungu gani? Hata hao nao sio money laundering wengi ni za urithi🥱
 
Kile kikundi cha wapigaji kimerudi tena ,e.g Nape ,makamba
giphy.gif
 
Tujiulize maswali haya
Je mipango miji inaruhusu vituo vya mafuta katikati ya miji na makazi ya watu?
Je sera ya mamlaka ya viwango na ubora inaruhusu vituo vya mafuta katikati ya miji na makazi ya watu?
Vipi wizara ya miundombinu?
Vipi wizara ya mazingira?
Jeshi la zimamoto je nalo haliwezi kuhusika hapa?

Kimsingi pamoja na tahadhari zote za usalama zinazochukuliwa lakini bado haishauriwi kuwa na vituo vya mafuta katikati ya miji na makazi ya watu. Na sheria ya vituo vya mafuta inasema kuwe na umbali USIOPUNGUA kilometer 5 nadhani kati ya kituo kimoja hadi kingine

Mafuta ni kitu kinachoweza kulipuka kwa haraka sana na kusababisha maafa makubwa ya watu na vitu kwa muda mfupi mno.. Hata magari yake na sehemu za kuhifadhia hayo mafuta zina alama kubwa za tahadhari ya hatari INFLAMMABLE (VILIPUZI)

Ni taasisi gani imeruhusu hili jambo la hatari kiasi hiki katikati ya mji na makazi ya watu na bila kuzingatia umbali kama sheria inavyotaka?

Kuna kampuni imeotesha vituo vya mafuta kila kona ya jiji ndani na nje, kwenye makazi ya watu, kwenye misongamano, kwenye maofisi na hata karibia kabisa na ofisi za mamlaka ya juu ama nyeti... Mtandao wa hivyo vituo unaleta mashaka na kutia hofu kubwa hasa katika kipindi hiki dunia inapopambana na ugaidi wa kila aina

Imagine itakuwaje kikatokea kikundi cha magaidi (Eeh Mungu tuepushe) kikakamata vituo vinne tu katikati ya jiji na kuvilipua... !? Ninini kitatokea?

Miundombinu yetu na vifaa vyetu kwenye kupambana na majanga makubwa ya moto bado sana... Tumewekeza kwa nguvu sana kwingine kote lakini sio kwenye kikosi cha zima moto... Tunaishi tu kwa kudra za mwenyezi Mungu...!

Kampuni husika iliyootesha vituo husika ndani katikati ya jiji la Dar imeishia kupigwa faini ya Tsh bilion tatu... Achilia mbali kama zitalipwa ama la ... Swali la kujiuliza je tuko tayari kuhatarisha maisha ya mamalioni ya watu na mali zao kwa ajili ya bilion 3? Maana baada ya kupigwa faini pengine ataruhusiwa aendelee na biashara.. NADHANI...!

Ni ngumu kumwambia abomoe kwakuwa pengine ana nyaraka zote muhimu za kumruhusu kufanya ujenzi na kufanya biashara..! Akizuiwa ndio mwanzo wa kushikana uchawi na pengine hakuna aliye tayari kufanya hivyo! Kwakuwa pengjne kila mmoja kala kwa urefu wa kamba yake!

Ni mpaka pale tutakapopigwa tukio moja baya kubwa na la kustukiza ndio akili zitatukaa sawa! Lakini tutaunda na tume? Jibu ni ndio kwakuwa huo sasa umekuwa utamaduni wetu...!
Nchi hii ina mabomu kila Kona,hospitari mgonjwa wa mguu,anapasuliwa kichwa,wa kichwa anapasuliwa mguu!!
Polisi,watu wanachukuliwa nyumbani wanauliwa,then inatangazwa walikuwa wanajibizana na risasi na polisi,wakauliwa
 
Tujiulize maswali haya
Je mipango miji inaruhusu vituo vya mafuta katikati ya miji na makazi ya watu?
Je sera ya mamlaka ya viwango na ubora inaruhusu vituo vya mafuta katikati ya miji na makazi ya watu?
Vipi wizara ya miundombinu?
Vipi wizara ya mazingira?
Jeshi la zimamoto je nalo haliwezi kuhusika hapa?

Kimsingi pamoja na tahadhari zote za usalama zinazochukuliwa lakini bado haishauriwi kuwa na vituo vya mafuta katikati ya miji na makazi ya watu. Na sheria ya vituo vya mafuta inasema kuwe na umbali USIOPUNGUA kilometer 5 nadhani kati ya kituo kimoja hadi kingine

Mafuta ni kitu kinachoweza kulipuka kwa haraka sana na kusababisha maafa makubwa ya watu na vitu kwa muda mfupi mno.. Hata magari yake na sehemu za kuhifadhia hayo mafuta zina alama kubwa za tahadhari ya hatari INFLAMMABLE (VILIPUZI)

Ni taasisi gani imeruhusu hili jambo la hatari kiasi hiki katikati ya mji na makazi ya watu na bila kuzingatia umbali kama sheria inavyotaka?

Kuna kampuni imeotesha vituo vya mafuta kila kona ya jiji ndani na nje, kwenye makazi ya watu, kwenye misongamano, kwenye maofisi na hata karibia kabisa na ofisi za mamlaka ya juu ama nyeti... Mtandao wa hivyo vituo unaleta mashaka na kutia hofu kubwa hasa katika kipindi hiki dunia inapopambana na ugaidi wa kila aina

Imagine itakuwaje kikatokea kikundi cha magaidi (Eeh Mungu tuepushe) kikakamata vituo vinne tu katikati ya jiji na kuvilipua... !? Ninini kitatokea?

Miundombinu yetu na vifaa vyetu kwenye kupambana na majanga makubwa ya moto bado sana... Tumewekeza kwa nguvu sana kwingine kote lakini sio kwenye kikosi cha zima moto... Tunaishi tu kwa kudra za mwenyezi Mungu...!

Kampuni husika iliyootesha vituo husika ndani katikati ya jiji la Dar imeishia kupigwa faini ya Tsh bilion tatu... Achilia mbali kama zitalipwa ama la ... Swali la kujiuliza je tuko tayari kuhatarisha maisha ya mamalioni ya watu na mali zao kwa ajili ya bilion 3? Maana baada ya kupigwa faini pengine ataruhusiwa aendelee na biashara.. NADHANI...!

Ni ngumu kumwambia abomoe kwakuwa pengine ana nyaraka zote muhimu za kumruhusu kufanya ujenzi na kufanya biashara..! Akizuiwa ndio mwanzo wa kushikana uchawi na pengine hakuna aliye tayari kufanya hivyo! Kwakuwa pengjne kila mmoja kala kwa urefu wa kamba yake!

Ni mpaka pale tutakapopigwa tukio moja baya kubwa na la kustukiza ndio akili zitatukaa sawa! Lakini tutaunda na tume? Jibu ni ndio kwakuwa huo sasa umekuwa utamaduni wetu...!
Jana wezuia ujenzi wa vituo hivyo kwa.miezi 3.

Wamiliki wengi wa vituo hivyo ni jamaa zetu asili ya mashariki ya Kati.

Tutegemee kikaango kikali kukinuka
 
Ninapowaambia kuwa CCM ni janga. Waliopitisha hii sheria na kusimamia utekelezaji ni viongozi wa CCM

Sasa hivi wanatukomoa, wanasubiri tuwatoe madarakani kwa kuwanyima kura ndo utaona mambo yatakavyoanza kuwiva.

Hawana ubinadamu. Wenyewe kwa wenyewe wanauana
 
Kutoka Kibada mpaka round about ya kwenda darajani vipo 7! Umbali usiozidi 5km
Tunapohamasisha kwenda ulimwengu WA gesi, hivi vituo inabidi viongezeke na kuwa Karibu na watumiaji, ni salama zaidi mitungi ya gesi kuuzwa vituo vya mafuta kuliko Sasa inavyouzwa masokoni na vibanda visivyokuwa salama!! Watanzania tupunguze wivu usiokuwa na tija!! Kituo Cha mafuta/gesi kinakuletea madhara gani!? Hakuna sehemu imeandikwa kuwa kituo Cha mafuta ni sehemu ya Moto, by the way nyumba zinaungua zaidi ya vituo vya mafuta!! Nishauri wanaohusika kuaratibu kuwashauri wenye navyo wazingatie taratibu zote za usalama na Sio kuanza kuwasumbua na kuwawezesha Ewura, OSHA, na Nemc kufanya hii biashara kuwa kisima Chao cha rushwa kila uchao!! Tunaimba energy invasion Huku tunajikata mkono
 
Hapa Tandale barabara nzima toka Sinza hadi Kanisani kulikua hamna vituo. Sasa hivi vimeota kama uyoga na tunafurahi kwasababu walau taswira nzuri inaonekana. Yale majumba mabovu yote wameyabomoa.
 
Vinazidi kuchipuka kila kona ya mji

Sent using Jamii Forums mobile app
Utamaduni wa kimachinga.

Kutembeza huduma.
Utofauti ni kuwa Hawa wa vituo hawana filosofia ya miji inakuaje kwahiyo wako kama wakimbiza bidhaa gulioni wakipona magari mengi tu wote wanaenda kujazana huko.

Na mamlaka zinaongozwa na watu wenye like mind..wanasahau, kwa kufanya hivyo wananyong'onyeza uchumi.

Kwenye sayansi ya mipango miji kuna kitu kinaitwa "Catchment Area" ambayo huwa ni eneo kimipaka ambapo huduma fulani inakuwa na uwezo wa kujitosheleza kuwahudumia watu na yenyewe kukua.

Kabla haujaruhusu kituo kipya Je kituo kilichopo kimefanyiwa tathmini?! Mapungufu yake ni yapi!? Huduma hafifu!? Watu wanakosa huduma?! Je kikiboreshwa kwa maana ya kuwekeza zaidi kwenye kuongeza bidhaa kwa maana uwezo wa kuhifadhi mafuta na kuwekewa njia rahisi za kutoka na kuingia, kuongeza dispensing pumps, kutengeneza special access kwa aina Fulani ya magari na mitambo iliyosahaulika kinaweza kufikia mlinganyo service na uhitaji unaotakikana?!

Haya kwa sehemu kubwa hayafanyiki. Na si ya kufanywa na serikali pekee kama mchezeshaji kwenye uwanja Wa maendeleo ya Ardhi ila pia ni muhimu kwa wafanyabiashara pia kujijengea utaratibu wa kufanya haya. Kwa serikali na wafanyabiashara hili ni muhimu sana kwani linawasaidia kulinda mitaji. Na mitaji iliyolindwa inatengemeza soko thabiti.

Kinachoendelea Sasa mikopo ni mingi kwenye kuwekeza ndani ya hizi huduma, ila Matokeo yake ni kuwa nyingi hazifikii full potential maana catchment ni ndogo na inaendelea kuwa infringed kila kukicha. Utaratibu wa kutumia mita 250 ni maono finyu kwa Kweli. Defaulters wa mikopo kwa uwekezaji huu ambao ni aina ya holela iliyodhibitiwa itakuwa kubwa sana... Na itapelekea parasitic development( biashara zinazoanzishwa kufuata biashara nyingine) kufa wakati zisipotarajia.

Happy new year
 
Back
Top Bottom