Dodoma Demand
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 130
- 74
- Thread starter
- #121
Walau saizi atapata fedha! kanalalamika bureMbona umepagawa na mradi wa vituo vya joto na baridi mkuu, vipi mkandarasi amekwambia una percent ngapi? mkajengewe dar huko
Walau saizi atapata fedha! kanalalamika bureMbona umepagawa na mradi wa vituo vya joto na baridi mkuu, vipi mkandarasi amekwambia una percent ngapi? mkajengewe dar huko
JF IMEKUFA MAANA NIMESAHAU MBINU ZINAZOTUMIKA KWELI NI TUSI................ wanaofanya hizo kazi hawana kazi nyingine....!Navikiri umevamia kambi mie sio mtu wa matusi , so jiheshim
Wenzetu kutokana na kuwa na joto kali huweka mabomba kama ya mvua ambayo ukijisikia joto huenda kuoga na pia kunakuwa na swimming pool za umma, ingawa mimi sipendi kuogelea kwenye simu pool hasa za huku kwetu kutokana na kuwa chafu na husau kuweka dawa,pia watumiaji huwa sio wastaraabu hujisaidia haja ndogo humo humo kwenye swimming pool.Kutokana na hali ya hewa ya Dodoma kuwa ya Kitropical Serikali imeamua kusaini dola za Marekani Milion 10 kwa ajili ya kuazisha vituo 5 maalumu vya Joto na Baridi. Vituo hovyo vitatumika wakati hali ya hewa ya kupita kiasi itakapotokea Jiji Dodoma ambapo vitafunguliwa vituo vyake vya Joto na Baridi kwa wakaazi kupumzika kutoka kwa hali ya hewa. Vituo vya Joto na Baridi huko Dodoma vinapatikana katika maeneo yafuatayo:
Nkuhungu
22 S. Nkuhungu St.
Masaa: 8 asubuhi hadi 5 jioni Jumatatu hadi Ijumaa
Udom
1800 Udom St.
Masaa: 7 asubuhi hadi 4 jioni Jumatatu hadi Ijumaa
Mtumba
Mji wa Serikali 200 Mashariki
Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)
Idara ya Polisi Zimamoto
20 NHIF PLAZA
Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)
Chamwino
227 Chamwino St.
Masaa:
9 asubuhi hadi 9 jioni Jumatatu hadi Alhamisi
9 asubuhi hadi 6 jioni Ijumaa
9 asubuhi hadi 5 jioni Jumamosi
Adhuhuri hadi saa 5 asubuhi. Jumapili
MAPENZI ULAYA,AFRIKA BIASHARA.... WAZA VIWANDA IPO SIKU UTAKUTANA NAO UTAONA NDIO MRADI WANAOUTAKAWenzetu kutokana na kuwa na joto kali huweka mabomba kama ya mvua ambayo ukijisikia joto huenda kuoga na pia kunakuwa na swimming pool za umma, ingawa mimi sipendi kuogelea kwenye simu pool hasa za huku kwetu kutokana na kuwa chafu na husau kuweka dawa,pia watumiaji huwa sio wastaraabu hujisaidia haja ndogo humo humo kwenye swimming pool.
Msimpambe Mtu mpaka mkapitiliza utadhani Sisi hatukuwepo. Nani asiyekumbuka CRDB Chato iliyogeuka club baada ya msiba? Nani amesahau taa za kuongozea magari zinazotumiwa na waendesha mikokoteni?Ndio vipaumbele hivyo haya mambo ni ngumu sana kuyasikia enzi za kidume toka Chato!
Ila ndio wananchi wanayopenda kuyaskia haya.,subirien kusikia hela watu wamegawana kwenye ma v8 kila mtu kakimbia na bil.10
"Every to hours America Today child dies of gunshot wound!? "Is scared they what family planning to work or behavior"Msimpambe Mtu mpaka mkapitiliza utadhani Sisi hatukuwepo. Nani asiyekumbuka CRDB Chato iliyogeuka club baada ya msiba? Nani amesahau taa za kuongozea magari zinazotumiwa na waendesha mikokoteni?